Facebook

Monday 30 June 2014

"Utata" wa penati za Costa Rica na Ugiriki

 Photo: "Utata" wa penati za Costa Rica na Ugiriki
Hivi ndivyo penati zilivyopigwa baada ya mpira kumalizika 1-1
Costa Rica walianza, Celso Borges 1-0
Ugiriki wakasawazisha, Konstantinos Mitroglou 1-1
Bryan Ruiz (Costa Rica) 2-1
Lazaros Christodoulopoulos (Ugiriki) 2-2
Giancarlo Gonzalez (Costa Rica) 3-2
Jose Cholevas (Ugiriki) 3-3
Joel Campbell (Costa Rica) 4-3
Theofanis Gekas (Ugiriki) ALIKOSA PENATI
Michael Umana (Costa Rica) 5-3
Iwapo Michael Umana angekosa, ingebidi Ugiriki wapige penati yao ya tano, kwa kuwa walipata, hakukuwa na haja ya kufanya hivyo kwa sababu walikosa penati moja, hata wangefunga isingebadili matokeo. HAKUNA UTATA- Matokeo yalikuwa 5-3 ya mikwaju ya penati.

Hivi ndivyo penati zilivyopigwa baada ya mpira kumalizika 1-1
Costa Rica walianza, Celso Borges 1-0
Ugiriki wakasawazisha, Konstantinos Mitroglou 1-1
Bryan Ruiz (Costa Rica) 2-1
Lazaros Christodoulopoulos (Ugiriki) 2-2
Giancarlo Gonzalez (Costa Rica) 3-2
Jose Cholevas (Ugiriki) 3-3
Joel Campbell (Costa Rica) 4-3
Theofanis Gekas (Ugiriki) ALIKOSA PENATI
Michael Umana (Costa Rica) 5-3
Iwapo Michael Umana angekosa, ingebidi Ugiriki wapige penati yao ya tano, kwa kuwa walipata, hakukuwa na haja ya kufanya hivyo kwa sababu walikosa penati moja, hata wangefunga isingebadili matokeo. HAKUNA UTATA- Matokeo yalikuwa 5-3 ya mikwaju ya penati.

0 comments:

Post a Comment