Facebook

Sunday 29 June 2014

Fifa wamuondolea adhabu gwiji wa Ujerumani, Franz Beckenbauer

Photo: Die Nachricht von seinem Tod stimmt mich sehr traurig. Nelson Mandela war ein einzigartiger Mensch und die beeindruckendste Persönlichkeit, die mir jemals begegnet ist. Jeder kennt den Satz von ihm: „Sport hat die Kraft, die Welt zu verändern.“ Er selbst hat sie auch verändert.

It makes me very sad. Nelson Mandela was a unique person and the most impressive personality I have ever met. Everyone knows this sentence of him: "Sport has the power to change the world"

Fifa wameondoa adhabu ya siku 90 za kutojishughulisha na michezo iliyokuwa imewekwa dhidi ya gwiji wa Ujerumani Franz Beckenbauer.
Beckenbauer, mshindi wa Kombe la Dunia akiwa kama kocha na nahodha, siku ya Ijumaa aliambiwa kuwa adhabu hiyo imondolewa haraka iwezekanavyo, alisema meneja Marcus Hoefl.
Franz, 68, alisimamishwa baada ya kushindwa kusaidia uchunguzi wa tuhuma za rushwa kwa wagombea uwenyeji wa Kombe a Dunia 2018 (Urusi) na 2022 (Qatar).
Alikuwa sehemu ya kamati kuu ya Fifa ambao walitoa tuzo hizo.
Beckenbauer alinyanyua Kombe la Dunia kama mchezaji (1974) na kocha (1990).

0 comments:

Post a Comment