Facebook

Wednesday, 27 August 2014

Arsenal yaghairi kusajili Mshambuliaji.


Arsenal hawana mipango ya kusajili mshambuliaji
mwingine kuziba pengo la Olivier Giroud - hata
kama vipimo vitaonesha ana jeraha kubwa.

Klabu
hiyo haina nia ya kusajili mchezaji yeyote wa
ushambuliaji kwa mkataba wa kudumu katika
dirisha hili la usajili.

Meneja wa Arsenal, Arsene
Wenger amesema atatazama kilichopo katika
soko la wachezaji wanaopatikana kwa mkopo.
Wenger anapanga kuwategemea Alexis Sanchez,
Joel Campbell, Yaya Sanogo, Lukas Podolski na
Theo Walcott.

Giroud alikuwa anapanga kukutana
na mtaalam ili kutathmini athari ya jerha lake,
alilopata katika mchezo dhidi ya Everton siku ya
Jumamosi uliomalizika kwa sare ya 2-2.
Kuna wasiwasi kuwa huenda amevinjika kiwiko
cha mguu na huenda akakosa kucheza kwa
karibu miezi mitatu.

Endelea kutembelea www.bantutz.com upate kilichobora.

Related Posts:

  • DEMBA BA KWENDA BESITKAS KWA PAUNI MILIONI 8   Mshambuliaji wa Chelsea Demba Ba anakaribia kuhamia klabu ya Besitkas ya Uturuki baada ya klabu hizo mbili kukubaliana. Licha ya kupachika mabao muhimu dhidi ya Liverpool, Swansea na Paris St-Germain mwishoni mwa… Read More
  • Tetesi za usajili katika magazeti mbalimbali barani Ulaya. Kiungo wa Juventus Arturo Vidal, 27, amewapa matumaini zaidi Manchester United baada ya kukiri kuwa "angependa kuichezea moja ya klabu kubwa duniani" ingawa amesema hatolazimisha uhamisho wake (Independent) United pia … Read More
  • LIVERPOOL YAKAMILISHA USAJILI WA MARKOVIC   Liverpool wamekamilisha usajili wa winga kutoka Serbia Lazar Markovic kwa pauni milioni 20 kutoka Benfica. Markovic, 20, anakuwa usajili wa nne kwa Liverpool kipindi hiki. Markovic aliisaidia Benfica kushinda ligi … Read More
  • DIEGO COSTA ATUA RASMI 'DARAJANI'    Aliyekuwa mshabuliaji wa Atletico Madrid Diego Costa, 25, amekamilisha usajili wake kwenda Chelsea na kusaini mkataba wa miaka mitano. Ada ya uhamisho inadhaniwa kuwa takriban pauni milioni 32. "Nimefurahi… Read More
  • Ospina akaribia kutua Arsenal.   Ripoti nchini Ufaransa zinasema klabu ya Nice na Arsenal wameingia makubaliano ya mauzo ya Ospina kutoka klabu hiyo ya Ufaransa kujiunga na Arsenal. "Starsport revealed that representatives from Arsenal had bee… Read More

0 comments:

Post a Comment