Facebook

Wednesday 27 August 2014

Mambo yazidi kwenda Kombo Manchester United,yapigwa nne na timu ya daraja la kwanza.

CAPITAL_ONE_CUP-BESTWakipanga kikosi tofauti kabisa, huku Kipa David De Gea akiwa ndie pekee kutoka timu iliyocheza mechi mbili za Ligi zilizopita, Manchester United imetandikwa 4-0 na Timu ya daraja la kwanza MK Dons na kutupwa nje ya Capital One Cup kwenye Raundi ya Pili tu.
Hadi Mapumziko, MK Dons walikuwa mbele kwa goli 1-0 alilofunga Grigg ambaye Kipindi cha Pili alipiga goli lingine na Afobe kufunga mengine mawili..

0 comments:

Post a Comment