Facebook

Saturday 30 August 2014

Gerrard akabidhiwa jukumu la "kumfunda" Balloteli.

Gerrard amepewa jukumu la kumuongoza
kimaadili Mario Balotelli kiwanjani na suala
la ndani ya klabu litakua juu ya Brendan
Rodgers huku Balotelli mwenyewe akiambiwa
ajiangalie nje ya klabu kimatendo na
kimaadili, kutokufanya jambo lolote
litakalomchafua ama kuchafua klabu.

0 comments:

Post a Comment