Gerrard amepewa jukumu la kumuongoza
kimaadili Mario Balotelli kiwanjani na suala
la ndani ya klabu litakua juu ya Brendan
Rodgers huku Balotelli mwenyewe akiambiwa
ajiangalie nje ya klabu kimatendo na
kimaadili, kutokufanya jambo lolote
litakalomchafua ama kuchafua klabu.
Saturday, 30 August 2014
Gerrard akabidhiwa jukumu la "kumfunda" Balloteli.
Related Posts:
Uchambuzi wa michezo ya jana Ligi Kuu Uingereza na Mr Martin Kiyumbi. Jana Ligi Kuu Uingereza iliendelea imeanza huku michezo mbalimbali ilipigwa katika viwanja mbalimbali.Hebu tujaribu kuangalia vitu vichache vilivyotokea kwenye michezo ya jana. Swansea City 2-1 Manchester United … Read More
Mayweather kuzichapa na Pacquiao Mwanamasumbwi raia wa Marekani Floyd Mayweather Junior ametangaza kuwa pigano lililosubiriwa kwa siku nyingi na mwanamasumbwi raia wa ufilipino Manny Pacquiao litafanyika mjini Las Vegas tarehe mbili mwezi Mei mwaka huu Pamb… Read More
Sony kuuanza utengenezaji wa filamu na vipindi vya burudani Kampuni ya Sony imetangaza wiki hii kwamba itajiondoa katika michezo ya kielektroniki katika idara zake za sauti na video.Badala yake inapanga kuangazia maeneo matatu ikiwemo idara yake ya filamu,burudani,michezo yake ya Play… Read More
Tanzia:Aliyekuwa mchezaji nguli wa Simba Sc Christopher Alex afariki dunia. Taarifa zilizotufikia BantuTz.com hivi punde kutoka mkoani Dodoma ni kwamba Mwamba umeanguka na nuru imetoeka.Ni baada ya aliyekuwa kiungo mahiri wa timu ya taifa mpira wa miguu Tanzania na vilabu vya Reli na Simba SC… Read More
BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO FEBRUARI 23 BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa ka… Read More
0 comments:
Post a Comment