Facebook

Sunday 31 August 2014

Tetesi za Usajili katika magazeti mbalimbali barani Ulaya na BantuTz SPORTS.

Arsenal huenda wanakaribia kumsajili Alessio
Cerci, 27, kutoka Torino baada ya mchezaji
huyo kuachwa katika kikosi kitakachocheza
na Inter Milan Jumapili (Daily Star),

Arsenal
wanakaribia kumsajili kiungo wa
Southampton Morgan Schneiderlin, 24, baada
ya kukubali kutoa pauni milioni 24
(CaughtOffSide),

Manchester United huenda
ikashuhudia wachezaji 11, ama wakiondoka,
au kuingia Old Trafford kabla ya dirisha la
usajili kufungwa Jumatatu (Daily Star),

Real
Madrid wapo tayari kuwajaribu tena
Manchester City kumtaka Alvaro Negredo, 29
(Mirror),

Louis van Gaal alimshawishi Robin
van Persie kuahirisha upasuaji wa goti kabla
ya Kombe la Dunia, lakini sasa huenda
akamkosa mshambuliaji huyo wakati fulani
msimu huu (Daily Mirror),

Juventus
wanaamini kukamilisha uhamisho wa
Radamel Falcao. Real sasa wanamtaka Javier
Hernandez (Gazetta dello Sport),

Arsenal
wameacha kumfuatilia Loic Remy wa QPR
ambaye anajiandaa kujiunga na Chelsea
(BBC).

Imesalia siku moja tu kabla ya dirisha
la usajili kufungwa. Tetesi nyingine na
uhamisho wa dakika za mwisho, tuwe sote
kesho tukijaaliwa.Endelea kutembelea www.bantutz.com

0 comments:

Post a Comment