Dereva mmoja wa taxi nchini
 Singapore amepongezwa na kusifiwa kwa uaminifu na moyo wa imani baada 
ya kukabidhi kitita cha zaidi ya paundi 500, 000 sawa na mabilioni ya 
shilingi kilichokuwa kimesahaulika kwenye gari yake.
Dereva huyo Sia Ka Tian 
(pichani) mwenye umri wa miaka 70 na ambaye amekuwa akiendesha taxi 
katika mji wa Singapore kwa zaidi ya miaka 30, alikuwa amewashusha 
wapenzi wawili watalii
 kutoka Thailand waliokukwenda kujivinjari nchini humo, baadae aligundua
 katika kiti cha gari kuna mfuko mweusi ambao sio wa kweke.
0 comments:
Post a Comment