Katika siku ya jumapili usiku(24 August 2014) lilitokea tukio kurushiwa risasi mastaa mbalimbali katika maandalizi ya tuzo za VMA na inasemekana mmelengwa alikuwa ni Chriss Brown,huku Nyota mwinginw,Suge Knight alinusurika kifo baada ya kupigwa vibaya na risasi.
50 Cents aliongelea kuhusu suala la Suge Knight kupigwa risasi siku ya jumapili asubuhi.
Suge Knight alipelekwa hospitali baada ya kuhimili risasi 6 alizopigwa tumboni na mkononi,katika sherehe aliyokuwa akiiongoza Chris Brown ya pre-party MTV VMAs,West Hollywood. Mpaka hivi saa Meya wa West Hollywood alisema mtuhumiwa bado hajatambuliwa.
50 Cents si mgeni na majeraha ya risasi,hivyo alilielezea suala hilo katika ukurasa wake kwenye Instagram.
Pep Guardiola amuoa mchumba wake waliyezaa nae watoto 3
Hatimaye
kocha wa klabu bingwa ya Ujerumani Bayern Munich, Pep Guardiola
amefunga ndoa na mchumba wake wa muda mrefu Cristina Serra leo hii, na
bosi huyo wa Bayern na mchumba wake waaliamua kufanya ndoa hiy…Read More
Mume wa Flora Mbasha asakwa kwa tuhuma za ubakaji
JESHI la Polisi Mkoa wa Ilala jijini Dar es Salaam linamsaka kwa udi na
uvumba Emmanuel Mbasha (pichani) ambaye ni mume wa mwimbaji maarufu wa
nyimbo za Injili nchini, Flora Mbasha kwa madai ya kumbaka shemeji y…Read More
0 comments:
Post a Comment