Kocha wa Atletico Madrid Diego Simeone
amefungiwa mechi nane kwa utovu wa
nidhamu alioonesha kwenye mechi ya Spanish
Super Cup. Simeone, 44, alimgusa mmoja wa
waamuzi kisogoni katika mechi iliyokuwa
imejaa hamasa kati ya Atletico Madrid na
Real Madrid, ambapo Atletico walishinda 2-1.
Shirikisho la soka la Spain (RFEF)
limethibitisha kuwa adhabu hiyo ni ya
makosa manne tofauti. Kocha msaidizi
German Burgos atasimamia mechi za
Attletico wakati wa adhabu hii.
Monday, 25 August 2014
SIMEONE AFUNGIWA MECHI NANE
Related Posts:
Azam FC kupambana na Almerreikh katika Robo fainali ya kombe la Kagame.WLeo tarehe 20.08.2014 timu ya Azam FC itaingia kiwanjani kupambeeana na Almerreikh ya Sudan katika mchezo wa robo fainali ya CECAFA KAGAME CUP. Mchezo utaanza saa 8:30 mchana kwa saa za Rwanda na itakua sa9:30 Dar. Kikosi k… Read More
Dunga ateua kikosi kipya cha Brazil;Wapya kibao wajumuishwaBaada ya kuteuliwa kwa mara ya pili kuinoa timu ya taifa ya Brazil "SELECAO". Dunga,ameteua kikosi cha wachezaji 22 kitakachovaana na Colombia huko Miami nchini Marekano mnamo September 5 mwaka huu. Na baada ya hapo siku nne … Read More
Kocha mpya wa Uholanzi ateaua kikosi kipya. Kocha mpya wa Uholanzi, Guus Hiddink, ameteua Kikosi chake cha kwanza tangu aanze wadhifa huo kwa kuwataja Wachezaji Wanne ambao hawakwenda huko Brazil kwenye Fainali za Kombe la Dunia. Wapya hao Wanne ambao wamo kwenye Kik… Read More
Matokeo ya Mechi za Kufuzu UEFA Champions League. … Read More
Rojo atua rasmi Manchester United,Nani aenda Sporting Lisbon kwa mkopo.KLABU ya Ureno Sporting Lisbon imethibitisha kuwa wao na Manchester United wamekubaliana Uhamisho wa Beki kutoka Argentina Marcos Rojo kwenda Man United na Nani kutua huko Lisbon kwa Mkopo wa Msimu mmoja. Sporting Lisbon wao … Read More
0 comments:
Post a Comment