Facebook

Friday 29 August 2014

Damu yazidi kumwagika katika eneo la Mlima Mbalizi huko Mbeya.

Watu kumi wamefariki papo hapo na wengine saba kujeruhiwa  vibaya baada ya Gari toyota Hiace waliyokua wakisafiria kugongana uso kwa uso na Fuso katika eneo la Mbalizi jijini Mbeya.

Eneo hili limekua kitovu cha ajali mbali mbali kwa mda wa Miongo kadhaa sasa kwani katika Mwezi huu pekee zimeshatokea ajari tatu.

Majina ya waliopoteza maisha hayajajulikana bado kutokana na baadhi ya maiti kujrruhiwa vibaya na dereva wa fuso kutimkia kusiko julikana!!

Endelea kutembelea www.bantutz.com tutakuwa tunakujuza kila kitakachokuwa kinaendelea.

Imeandaliwa na....
                               Peter Bulimbe.

2 comments: