Muimbaji wa Tanzania, Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz ametajwa kuwania tuzo za reggae za kimataifa na muziki wa dunia 2014 (International Reggae and World Music
Awards (IRAWMA).
Diamond ametajwa kuwania kipengele cha Best African Song/Entertainer na wimbo wake ‘Mdogo Mdogo’.
Kwenye kipengele hicho, Diamond anachuana na Aye – Davido (Nigeria). “Bundelele, –Awilo Longomba (Congo) “Tam Tam” – Willy Paul Msafi (Kenya), ”Sitya Loss” – Eddy Kenzo
(Uganda), na “Mama Africa” – Bracket (Nigeria).
Alichokiandika katika ukurasa wake wa facebook "Nashkuru sana Shabiki zangu pendwa.. Naamini support yenu ndio imefanya nyimbo hii ya Mdogo Mdogo kuchaguliwa kuwania kuwa Nyimbo bora Ya Africa katika tunzo za IRAWMA nchini America...na namini huu ni mwanzo tu! NOW LET THE VOTING GAME BEGIN!!!! hii ndio
Link ya kupiga kura wadau..
http://irawma.com/irawma_vote2014"
Rapper Lil Kim ajifungua mtoto wa kike
Rapper Lil Kim aliyezaliwa miaka 39 iliyopita, siku ya jana June 9 saa 3 na dakika 58
alijifungua
asubuhi katika hospitali ya Hackensack University Medical Center
iliyoko New Jersey, Marekani, kwa mujibu wa Huffingt…Read More
Mbasha:Gwajima niachie mke wangu Flora
MUME wa mwimba Injili Bongo, Flora Mbasha anayedaiwa kumbaka binti wa
miaka 17 (jina lipo), Emmanuel Mbasha ameibuka mzimamzima na kumtaka
Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Uzima na Ufufuo la jijini Dar, Josephat…Read More
0 comments:
Post a Comment