Facebook

Saturday 30 August 2014

Diamond atajwa kuwania tuzo za kimataifa.


Muimbaji wa Tanzania, Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz ametajwa kuwania tuzo za reggae za kimataifa na muziki wa dunia 2014 (International Reggae and World Music
Awards (IRAWMA).
Diamond ametajwa kuwania kipengele cha Best African Song/Entertainer na wimbo wake ‘Mdogo Mdogo’.
Kwenye kipengele hicho, Diamond anachuana na Aye – Davido (Nigeria). “Bundelele, –Awilo Longomba (Congo) “Tam Tam” – Willy Paul Msafi (Kenya), ”Sitya Loss” – Eddy Kenzo
(Uganda), na “Mama Africa” – Bracket (Nigeria).


Kufahamu namna ya kumpigia kura Diamond bofya hapa:MPIGIE KURA DIAMOND

Alichokiandika katika ukurasa wake wa facebook
"Nashkuru sana Shabiki zangu pendwa.. Naamini support yenu ndio imefanya nyimbo hii ya Mdogo Mdogo kuchaguliwa kuwania kuwa Nyimbo bora Ya Africa katika tunzo za IRAWMA nchini America...na namini huu ni mwanzo tu! NOW LET THE VOTING GAME BEGIN!!!! hii ndio
Link ya kupiga kura wadau..
http://irawma.com/irawma_vote2014"

0 comments:

Post a Comment