Monday, 25 August 2014
Picha hizi za P-Square zavunja rekodi mitandaoni.
Related Posts:
Mtoto wa Kim Kardashian na Kanye West mwenye mwaka 1 aanza kutembea,aonekana huko San Diego. Mtoto wa Kim Kardashian mwenye umri wa miezi kumi na tatu(13),North West aanza kutembea akiwa amevaa nguo iliyo chanwachanwa(ripped jeans) na vest nyeupe juu wakati wa matembezi huko San Diego akiwa na Mama yake, Kim Kardash… Read More
Chris Brown anusurika kifo Club;Suge Knight apigwa risasi. Chris Brown amekoswakoswa kupigwa na risasi akiwa Club katika show ya pre-party ya usiku wa MTV VMAs . Mashahidi wanasema mwimbaji huyo Chris brown (25) alikoswa na risasi katika tukio hilo lililotokea klabu ya 10AK ,W… Read More
DJ Fetty apigana ngumi na shabiki Usiku akiwa uKumbi wa Starehe. Mtangazaji wa Clouds FM,Fatuma Hassan ‘DJ Fetty’, juzi alijikuta akitwangana makonde na mrembo mmoja ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja baada ya kupishana kauli kwenye ukumbi mmoja wa starehe pande za Kahama, S… Read More
Rapper maarufu ateleza jukwaani wakati akitumbuiza Rapper IGGY Ame kuwa na mafanikio makubwa tangu mwaka jana,lakini alikuja kungundua siku ya Ijumaa "u-star" sio tu kuonekana vizuri na kuvutia. Rapper huyo kutoka Australia alikuwa akiimba wimbo wake unaowika sana Fanc… Read More
AY kuiachia kimataifa ngoma aliyomshirikisha Sean Kingston. Msanii AY anatarajia kuachia nyimbo mbili za kimataifa mwezi November mwaka huu.Miongoni mwa nyimbo hizo ni pamoja na ule aliomshirikisha Sean Kingston. Akiongea hivi karibuni, AY alisema miezi ya hivi karibuni amekuwa akia… Read More
0 comments:
Post a Comment