Klabu ya Arsenal imejitoa ghafla katika mbio za
kuifukuzia saini ya mshambuliaji wa QPR
Mfaransa Loic Remy masaa machache baada ya
kudaiwa kuwa imerudi kumuwania tena siku ya
jana.
Sasa milango iko wazi kwa nyota huyo kutua
Chelsea baada ya klabu hiyo kufikia kifungu cha
bei iliyowekwa na klabu yake hiyo inayokipiga
katika dimba la Loftus Road.
Sunday, 31 August 2014
ARSENAL YAJITOA KUMUWANIA REMY
Related Posts:
Tetesi za Usajili katika magazeti mbalimbali barani Ulaya. Arsenal wamepata matumaini zaidi ya kumsajili Sami Khedira, 27, baada ya kiungo huyo kukataa kusaini mkataba mpya na Real Madrid (Daily Star), Arsenal pia wapo katika mazungumzo ya kumsajili Loic Remy k… Read More
"Ubaguzi unamuathiri Yaya Toure"-Wakala Wakala wa Yaya Toure amedai kuwa sababu ya kiungo huyo wa Manchester City kutoshinda tuzo zozote kubwa ni kwa sababu ya rangi yake ya ngozi. Wakala huyo, Dmitri Seluk amesema kiungo huyo raia wa Ivory Coast a… Read More
Tetesi za usajili katika magazeti mbalimbali barani Ulaya. Meneja wa Liverpool Brendan Rodgers ataruhusiwa kutumia fedha zote, pauni milioni 75 za mauzo ya Luis Suarez kuimarisha kikosi chake (The Times), Meneja wa Arsenal, Arsene Wenger anayetafuta kiu… Read More
Tetesi za usajili katika magazeti mbalimbali barani Ulaya. Juventus wanajipanga kutoa pauni milioni 20 kumchukua Paulinho, 25, kutoka Tottenham, hatua hiyo huenda ikatoa mwanya kwa Manchester United kumchukua Arturo Vidal, 27 (Sunday Telegraph), Winga wa Re… Read More
Vidal mbioni kukamilisha usajili kutua Manchester United. Taarifa zina semakua madokta wa Man United wametumwa kumfanyia uchunguzi wa vipimo kiungo huyo wa timu ya Juventus toka nchini Italy kutokana na mchezaji uyo kukabiliwa na maumivu ya goti lake mara kwa mara,hivyo ma… Read More
0 comments:
Post a Comment