Facebook

Sunday 31 August 2014

ARSENAL YAJITOA KUMUWANIA REMY

Klabu ya Arsenal imejitoa ghafla katika mbio za
kuifukuzia saini ya mshambuliaji wa QPR
Mfaransa Loic Remy masaa machache baada ya
kudaiwa kuwa imerudi kumuwania tena siku ya
jana.
Sasa milango iko wazi kwa nyota huyo kutua
Chelsea baada ya klabu hiyo kufikia kifungu cha
bei iliyowekwa na klabu yake hiyo inayokipiga
katika dimba la Loftus Road.

0 comments:

Post a Comment