Mshambuliaji wa Manchester United Wayne
Rooney ametajwa kuwa nahodha wa timu ya
taifa ya England, na meneja Roy Hodgson.
Rooney, 28, anachukua nafasi iliyoachwa na
Steven Gerrard aliyestaafu, baada ya England
kutolewa katika michuano ya Kombe la
Dunia. Rooney ambaye amefunga magoli 40
katika mechi 95 alizocheza England, pia
alitajwa kuwa nahodha wa Manchester
United na Louis van Gaal mapema mwezi
huu.
"Ni kitu ambacho nitajivunia kukifanya.
Kuteuliwa kuwa nahodha ni kitu ambacho
hata sikuwahi kukiota." amesema Rooney
katika tovuti yake rasmi.
Thursday, 28 August 2014
Rooney ateuliwa kuwa nahodha wa timu ya taifa ya Uingereza
Related Posts:
Matokeo Ligi Kuu Uingereza..........fuatilia hapa...................Unaweza ukafuatilia matokeo ya ligi mbalimbali duniani....pamoja na misimamo na ratiba ya michezo mbalimbali hususan soka katika blog hii upande wa kulia angalia sehemu imeandikwa SOCCER LEAGUE UPDATES uweze upate kila kitu k… Read More
Moyes aomba heshima kwa mashabiki wa Everton kesho...soma hapa.... KOCHA wa zamani wa Everton na sasa Manchester United, David Moyes anaamini kuwa anastahili heshima kutoka kwa mashabiki wa klabu yake hiyo ya zamani katika mchezo wa ligi kuu hapo kesho uwanja wa Goodison P… Read More
Yanga yaponea chupuchupu,yatoka sare na Simba leo......soma hapa kupata uchambuzi makini........... HATIMAYE safari ya mechi 26 za ligi kuu soka Tanzania bara msimu wa 2013/2014 imemalizika leo kwa timu zote 14 kushuka uwanjani katika miji tofauti nchini. Yanga waliovuliwa ubingwa na Azam fc walikuwa … Read More
Je!!! unamjua Mtanzania aliyefanya Video na Rick Ross....muangalie hapa katika picha..... CYNTHIA MASASI (TANZANIA) Ni Video Vixen kutoka Mwanza Tanzania Ambaye anafanyia kazi zake Marekani.Ameshakua Featured Kwenye videos zaidi ya 30 nchini Marekani.Ameshafanya videos na wasanii kama T.I, Juvenile,… Read More
Brenden Rodgers adai Gerrard ndiye kiungo bora kabisa Ulaya kwa sasa....fuatilia hapa..... KOCHA wa Liverpool, Brendan Rodgers anaamini kuwa nahodha wake, Steven Gerrard ndiye kiungo na kiongozi bora zaidi barani Ulaya. Rodgers amesema japokuwa Gerrard mwenye umri wa miaka 33 hajacheza mechi zote za … Read More
0 comments:
Post a Comment