Fernando Torres ameondoka Stamford Bridge
na kuhamia San Siro.
Straika huyo atakua AC Milan kuziba pengo la
Mario Balotelli baada ya mu-Italiano huyo
kujiunga na Liverpool kwa ada ya £16m.
Torres na Chelsea wamwfikia makubaliano
hayo ya kukatisha mkataba wao wa miaka 5
na nusu, baada ya straika huyo kuitumikia
The Blues bila mafanikio kwa miaka mitatu na
nusu.
Amesaini mkataba wa miaka miwili na AC
Milan kama mchezaji huru huku ikiaminika
Chelsea imemlipa kiasi cha pesa ili
kuhitimisha mkataba wake uliokua ukimlipa
£150,000-kwa-wiki kwa kua alisalia na miaka
miwili mkataba huo kumalizika.
Torres ameifungia Chelsea bao 45 tu katika
michezo 172 tokea kusajiliwa kwa ada ya
£50milioni akitokea Liverpool.
Saturday, 30 August 2014
"El Nino" ajiunga AC Milan.
Related Posts:
Hizi ni tetesi zote za Usajili wa wachezaji barani Ulaya siku ya leo.Manchester United wanakaribia kutoa dau la pauni milioni 25 kumtaka mshambuliaji wa Liverpool Raheem Sterling, 20 (Mirror), Chelsea wanataka kumsajili Radamel Falcao kwa mkopo kutoka Monaco. Falcao, 29, amefunga mabao manne k… Read More
Essien asaini mkataba wa miaka 2 Panathinaikos Nyota wa timu ya taifa ya Ghana na klabu ya AC MilanMichael Essien amesajiliwa na kilabu ya Panathinaikos ya nchini Ugiriki kwa mkataba wa miaka miwili. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa ya Panathinaikos mchezaji huyo mwen… Read More
Chelsea yaikosa saini ya mfungaji bora wa Serie A,Mauro Icard. Timu ya Chelsea imepigwa mweleka katika mbio zake za kumsajili mchezaji Mauro Icardi baada ya mchezaji huyo kusaini mkataba mpya wa miaka minne na Inter Milan ya Italy. Mauro miaka 22 alikuwa anahusishwa na kuhamia Chelsea… Read More
Liverpool watangaza kumsajili Milner. Klabu ya soka ya Liverpool imetangaza kumsajili kiungo James Milner kutoka Manchester City kwa uhamisho huru.Liverpool wamesema kuwa wamekubaliana masuala binafsi na Milner na atajiunga na timu hiyo mwezi wa saba tarehe moj… Read More
McClaren kocha mpya Newcastle. Steve McClaren anatarajiwa kuthibitishwa kuwa Meneja mpya wa Klabu ya Ligi Kuu England Newcastle Wiki ijayo. McClaren, mwenye Miaka 54, ni Meneja wa zamani wa England na pia aliwahi kuwa Meneja Msaidizi chini ya… Read More
0 comments:
Post a Comment