Unaambiwa
limetembea umbali wa kilometa 2.3 likijaribiwa kwenye mikikimikiki ya
aina mbalimbali barabarani kama vile kuovertake, kufata alama za
barabarani, taa za kuongozea magari na hata sehemu za watu kuvuka
barabara.
Nissan
wamesema wanalengo la kuanza kuliuza hili gari miaka saba kutoka sasa,
hiyo itakua mwaka 2020 ambapo gari hili lina kamera maalum pamoja na sensors zinazofanikisha
kulipa taarifa ya tukio husika kwa wakati huo ndio maana linaweza
kufanya kama inavyotakiwa mfano kushika breki, kukanyaga mafuta na vitu
vingine.
Wednesday, 27 August 2014
Gari linalojiendesha lenyewe lafanyiwa majaribio huko Japan,
Related Posts:
Mapacha wazaliwa wakiwa wameshikana mikono Mama wa mapcha hawa amesema mapacha wake ni zawadi kubwa kwake Mama mmoja nchini Marekani, amejifungua mapacha waliozaliwa wak… Read More
Tahadhari Juu ya Ugonjwa wa Dengue Iwapo itatokea una kila dalili za homa ya dengue, dawa ya kukimbilia kwanza ni Panadol; inashauriwa usimeze KABISA Diclopar wala Diclofenac. Iwapo utameza dawa hizi, utakuwa kwenye uwezekano mkubwa wa kupoteza maisha. Ime… Read More
Je unazijua Athari za dawa ya meno kwa mbegu za uzazi Sabuni pia zinasemekana kuwa na kemikali zinazoathiri mbegu za wanaume Kemikali zinazopatikana katika baadhi ya bidhaa ambazo hut… Read More
Je ulijua kama Kondo la Nyuma au 'Placenta' huliwa? Baadhi ya wanawake wanakunywa maji ya Kondo la Nyuma saa chache baada ya kujifungua Hugeuka kuwa uchafu pindi mama anapojifungua , sasa kwa nini baadhi ya wanawake wana… Read More
HUYU NDIYE MBU ANAEENEZA HOMA YA DENGUE … Read More
0 comments:
Post a Comment