Manchester United wamekubaliana na Ajax
kumsajili mchezaji Daley Blind kwa thamani
ya pauni milion14.2, kwa mkataba wa miaka
4 na uwezekano wa kumuongezea mwaka wa
5 kama mambo yakienda sawa,pia
Manchester United imekubaliana na Ajax
kuwa endapo Man United itataka kumuuza
Daley Blind basi baadhi ya pesa yake ya
usajili watapewa Ajax.
Daley Blind anatarajiwa kucheza kama kiungo
mkabaji katika timu ya Manchester
United,kutokana na mapungufu ya kiungo
yanayo iandama klabu ya Man Utd,lakini pia
Daley Blind anauwezo wa kumudu kucheza
kama beki wa kushoto.
Saturday, 30 August 2014
Manchester United yamsajili Daley Blind
Related Posts:
Memphis Depay afuzu vipimo vya afya Old Trafford.Memphis Depay amekamilisha vipimo vya afya Old Trafford siku ya jana Jumatatu. Kwa mujibu wa tovuti ya Man Utd, klabu hiyo sasa itashughulikia kukamilisha usajili wakati dirisha la usajili la kimataifa litakapofunguliwa mwezi… Read More
BantuTz MAGAZETINI:Soma kilichoandikwa katika magazeti mabalimbali ya leo Jumatano,Mei 13 2015. BantuTz MAGAZETINI-Ni uratatibu ambao BantuTz imeuanzisha ili kuwawezesha wadau wote wa Bantu waweze kusomana kupitia kurasa za magazeti mbalimbali nchini kila siku asubuhi ili kuwasogezea karibu zaidi huduma kupata … Read More
BantuTz MAGAZETINI:-Soma kilichoandikwa katika kurasa za Magazeti mbalimbali ya leo Jumamosi,Mei 16. MAGAZETINI-Ni uratatibu ambao BantuTz imeuanzisha ili kuwawezesha wadau wote wa Bantu waweze kusomana kupitia kurasa za magazeti mbalimbali nchini kila siku asubuhi ili kuwasogezea karibu zaidi huduma kupata hab… Read More
Niyonzima akubali kuongeza mkataba Yanga.Harouna Niyonzima amekubaliana kimsingi na Yanga kusaini mkataba mpya na club hiyo kwa muda wa miaka 2. Bado hajasaini makaratasi lakini makubaliano yameshafanyika kati ya pande mbili. … Read More
Raheem Sterling agoma kusaini mkataba Liverpool,Man City yamtengea dau nono.Raheem Sterling(20) anategemea kumwambia manager wa Liverpool Brendan Rogers kwamba anataka kuondoka Anfield. Forward huyu ameshakataa mkataba wa £100,000 kwa wiki. Lakini bado Liverpool wana mkataba nae hadi 2017. Manch… Read More
0 comments:
Post a Comment