Facebook

Saturday 30 August 2014

Manchester United yamsajili Daley Blind

Manchester United wamekubaliana na Ajax
kumsajili mchezaji Daley Blind kwa thamani
ya pauni milion14.2, kwa mkataba wa miaka
4 na uwezekano wa kumuongezea mwaka wa
5 kama mambo yakienda sawa,pia
Manchester United imekubaliana na Ajax
kuwa endapo Man United itataka kumuuza
Daley Blind basi baadhi ya pesa yake ya
usajili watapewa Ajax.
Daley Blind anatarajiwa kucheza kama kiungo
mkabaji katika timu ya Manchester
United,kutokana na mapungufu ya kiungo
yanayo iandama klabu ya Man Utd,lakini pia
Daley Blind anauwezo wa kumudu kucheza
kama beki wa kushoto.

0 comments:

Post a Comment