Facebook

Sunday 31 August 2014

Hatimaye Shinji kagawa arejea Dortmund.

Kiungo mshambuliaji Shinji Kagawa aliyenunuliwa na Manchester United kutoka Borrusia Dortmund miaka miwili iliyopita,hatimaye leo hii amerejea kunako klabu yake hiyo ya zamani.

Shinji kagawa amesaini mkataba wa miaka minne na klabu hiyo baada ya kushindwa kuwika katika misimu yake miwili aliyokuwa Manchester United.

0 comments:

Post a Comment