Mchezaji Angel Di Maria amesha wasili katika
viwanja vya AON training Complex,na
anatarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya jioni
yaleo ambapo kwa mida ya nchini Uingereza
itakua mchana,baada ya hapo atakaachini na
uongozi wa Man United kufanya makubaliano
na kusaini mkataba.
Monday, 25 August 2014
Di Maria awasili Manchester .
Related Posts:
Man City yamsajili Fernando wa Porto. Mchezaji wa Porto Fernando akimkabili ashley Cole wa Chelsea Mabingwa wa ligi ya FA nchini Uingereza Manchester City wamemsajili mchezaji wa kiungo cha k… Read More
Southampton yakubali Luke Shaw kusajiliwa Manchester United. Mchezaji kinda wa Kiingereza anayekipiga klabu ya Southampton Luke Shaw,ambaye alikuwa na timu ya taifa ya Uingereza katika michuano ya kombe la dunia inayoendelea nchini Brazil ingawa timu yao … Read More
Lallana anafanyiwa vipimo vya afya tayari kujiunga na Liverpool Adam Lallana yuko jijini Liverpool akifanyiwa vipimo vya afya tayari kujiunga na "The Reds".Ikumbukwe Southampton walikataa dau lililotolewa na Liverpool mara mbili kabla ya michuano ya komb… Read More
Tetesi za usajili katika magazeti mbalimbali barani Ulaya. Rio Ferdinand amekubali kujiunga na QPR baada ya kukaa Manchester United kwa miaka 12 (Daily Mail), Angel Di Maria wa Real Madrid anasakwa na Manchester United na Arsenal, na amekiri kuwa hana u… Read More
Tetesi za usajili barani Ulaya.Baada ya kumnasa kiungo kutoka klabu ya Athletico Bilbao,Manchester United wamemnasa kinda wa Kiingereza kutoka klabu ya Southmpton kwa ada ya uhamisho ya Paundi million 34.Luke Shaw amefaulu vipimo vya afya na yuko Carringto… Read More
0 comments:
Post a Comment