Mzigo ulipokamilika nyumbani kwao alipoitengenezea, Polisi wa mji huo 
wakamkataza kuipaisha kwa sababu ni kinyume na sheria lakini ili kuepuka
 kumkatisha tamaa… wakamwambia ni vyema akapata kibali kutoka kwa 
mamlaka ya anga.
Paul Karanja alizuiwa na polisi kuipaisha hii ndege kutoka uwanja wa 
mdogo wa ndege wa Karagita na kuwanyima uhondo zaidi ya watu 500 
waliofika asubuhi ya saa 3 kuangalia chombo kikipaishwa.
Karanja ambae ni Mwalimu pia wa shule ya upili, amesema tayari 
ameiandikia barua mamlaka ya ndege nchini Kenya kuhusu kupaisha ndege 
hiyo lakini hajapata majibu.
0 comments:
Post a Comment