Facebook

Friday 29 August 2014

MGANGA KUFIKISHWA KIZIMBANI KISA KUPATA MALI KWA NJIA YA UDANGANYIFU NA KUMUINGILIA KIMWILI MTEJA WAKE.


Mganga wa kienyeji Michael Yahya(34) anashitakiwa na  Mwanahamisi Omary kwa kosa la kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu na kumuingilia kimwili mwana mama hyo.

>Mwanahamis 26, ambaye ni mke wa mtu  alikua akisumbuliwa na tumbo la uzaz na ivo akaamua kwenda kwa mganga hyo aliyekua akitoa matibabu nyumbani kwake na baadae kuyaamishia katika nyumba ya wageni iliyoko maeneo ya kigogo luhanga

>Akizungumza kuputia kwa wakili wake  Felista  Mosha Mshitaki hyo ameieleza mahakama ya wilaya ya ilala kua Mganga hyo alikua akipaka dawa kwenye uume wake na kumuingilia kimwili bila kujua kwani alimwambia kua anamajini ambayo yanataka mtoto na baadae akampigia  simu mme wake Bw.Edrick Elinezer na kumweleza kua mkewe anamajin yanayotaka mtoto ivo alete gari yake aina ya toyota Lav 4, yenye namba za usajili T 139 BSG.

>Lakin hta ivo baada ya kuendelea kupokea  matibabu hayo kwa  mda mrefu Mwanahamisi hakupata mafanikio kwa mda wa miez sita na ivo kutambua kua alidanganywa na kuliwa changa la macho kwani Gari hyo ilikua na thaman ya Tsh.  12mil.

Baada ya kufikishwa mahakaman mtuhumiwa alipewa dhamana lakin akatoroka ivo Hakim ameamuru wadhamini wake kumtafta na endapo atakosekana watalazimika kulipa faini ya Sh. Mil 6, kila mmoja.

Kesi hyo itatajwa tena tar.18 Septemba!!

0 comments:

Post a Comment