Mshambuliaji wa Cameroon Samuel Eto'o
ametangaza kustaafu soka la kimataifa. Eto'o,
33, ambaye ameifungia Cameroon magoli 54
alijiunga na Everton siku ya Jumanne. Hatocheza
michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka
2015 nchini Morocco, iwapo Cameroon
watafuzu. Uamuzi huu umekuja baada ya
kutojumuishwa kwenye kikosi cha Volker Finke,
na unahodha kupewa Stephane Mbia. "Napenda
kuwaarifu kuwa nimefikia mwisho wa kucheza
soka la kimataifa." amesema kupitia ukurasa
wake wa Instagram.
Friday, 29 August 2014
Eto'o atundika 'daluga' kimataifa
Related Posts:
Tetesi za soka katika magazeti mbalimbali barani Ulaya. Liverpool imesema haikuhusika na chochote kuhusiana na hatua ya kuomba radhi ya Luis Suarez baada ya kumng'ata Giorgio Chiellini, ili kusaidia uhamisho wake kwenda Barcelona (Independent), &nb… Read More
Emirates Cup 2014 kuanza hivi karibuni. Kwa kila matayarisho ya msimu mpya, Arsenal huandaa mashindano yanayojulikana kwa jina la Emirates Cup ambalo hujumuisha klabu kubwa Ulaya. Mwaka huu kutakua na Bingwa wa ligi ya Portugal Benfica, Klabu ku… Read More
Liverpool yakamilisha usajili wa Adam Lallana. Adam Lallana amekamilisha usajili wake kutoka Southampton kwenda Liverpool kwa kitita cha pauni milioni 25. Lallana amekamilisha vipimo vya afya na ataungana na Rickie Lambart aliyetokea Southampton. … Read More
Manchester United yampandia dau kiungo tegemezi wa Colombia. Manchester United wameweka dau la kumsajili kiungo bora aliyeng"ara katika fainali zinazoendelea za kombe la dunia Juan Cuadrado. Star uyo wa Colombia anatajwa kuwa ndie chachu ya ushindi wa timu yake mpaka kuf… Read More
Wenger atoa sababu kwa nini hakumsajili Fabregas Arsene Wenger akiongea French TV: "Kwa nini sikumsajili Cesc Fabregas? Ok nachoweza kusema ni kwamba kariri jina Gedion Zelalem." Akimaanisha kwamba baadae tutakuja ona uwezo wa huyu dogo, kumsajili Cesc kwa… Read More
0 comments:
Post a Comment