Mshambuliaji wa Arsenal Olivier Giroud
hatocheza hadi mwisho wa Disemba baada ya
kufanyiwa upasuaji kutokana na jeraha la mguu.
Klabu hiyo ilipata matokeo ya vipimo vya pili
siku ya Alhamis, ambavyo vimethibitisha kuwa
mchezaji huyo wa kimataifa wa Ufaransa
amevunjika muundi goko wa kushoto (left tibia).
Giroud, 27, ambaye aliumia katika mchezo dhidi
ya Everton ambao ulimazilika kwa sare ya 2-2,
hatoweza kucheza kwa karibu miezi minne.
"Utaniuliza kama nitanunua mchezaji gani kuziba
pengo la Giroud. Kwa sasa, hakuna." amesema
boss wa Gunners Arsene Wenger.
Friday, 29 August 2014
Giroud kukaa nje hadi Disemba kutokana na majeruhi.
Related Posts:
BantuTz MAGAZETINI:SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO ALHAMIS 22,2015. BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa ka… Read More
Liverpool watimiza miaka 25 tangu washinde ubingwa wa Ligi Kuu Uingereza.Wakati Liverpool leo wakiwa wanatimiza miaka 25 tangu washinde ubingwa wa EPL. April 28, 1990 ndio ilikuwa siku ya mwisho kutwaa uchampion wa England. Swali kwa wana Liverpool - wangapi walishuhudia timu hiyo ikitwaa ubingwa … Read More
Uchambuzi wa mechi kali za leo Ligi Kuu Uingereza.Everton vs Man United 14:30 Tukianzia katika mchezo wa mapema kabisa majira ya sa 14:30 vijana wa Martinez ambao wamekumbuka shuka pamesha kucha watakwaana na Man Utd. Licha ya matokeo ma… Read More
"DERBY DELLA MADONNINA" INTER MILAN vs AC MILAN Kila kitu huwa kina mwanzo na mwisho wake lakini upande wa soka hasa kwa vilabu mwisho wake unakuja pindi timu inapo shindwa kujenga misingi imara yenye muendelezo wa kubaki ktk kiwango ch… Read More
Garry Neville "Manchester United Can beat Chelsea on Saturday" Gary Neville believes Manchester United face their toughest test of the season when they visit Premier League leaders Chelsea on Saturday - but feels their current form means they can beat anyone. Louis van Gaal… Read More
0 comments:
Post a Comment