Saturday, 17 May 2014
Huyu Ndio Mpenzi wa Hashim Thabit Aliye Zaa Nae.
Mtanzania anayecheza mpira wa kikapu katika timu kubwa ya ‘Thunder aka OKC’ katika jijini la
Oklahoma, Marekani Hasheem Thabeet aka Hasheem The Dream wiki sita zilizopita amepata mtoto wa kiume(Baby Boy) aliyezaa na msichana wa kimarekani anafahamika kwa jina la Bee Anderson alias Love Queen
Related Posts:
Baada ya kukamatwa na bangi airport Wiz Khalifa,akionekana kutokujali atuma picha twitter akiwa jela Wiz Kalifa (Camron Thomaz) amekamatwa siku ya jumapili asubuhi baada ya kukutwa na bangi katika uwanja wa ndege wa El Paso Maafisa wa TSA waligundua kuwepo kwa kontena la chuma katika mzigo wake n… Read More
Rick Ross Na Tattoo Nyingine Usoni, Ni Ya Jina La Mixtape Yake. Rick Ross amechorwa jina la moja ya Mixtape zake kwenye uso wake hivi kaibuni na mchoraji maarufu Nikko Hurtado.Tattoo hii ya “Rich Forever” ipo kwenye kidevu cha rapper huyu chini tu ya mdomo wake. Picha za … Read More
Picha 8 za utengenezaji wa video ya wimbo wa Chege na Temba, Jokate na Julio ndani Fanya kuangalia picha za utengenezaji wa video ya wimbo wa Chege na Temba "Wauwe" ambayo imeshutiwa ndani ya uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere Katika video hiyo, Chege na Temb… Read More
Msanii mwingine wa Bongo Movie afariki dunia !!!! Tukiwa na wiki moja toka tumzike muongozaji na muigizaji Adam Kuambiana leo asubuhi imetoka taarifa nyingine ya kifo cha miongoni mwa waigizaji wa kike toka Bongo Movie. Aliefariki ni mwigizaji anaitwa Rachel Haule… Read More
Ushahidi wa T.I juu ya usaliti uliofanywa na mkewe na bondia Mayweather. Tayari tumeona bondia Mayweather akitoa ushahidi wake kufuatia ugomvi mkubwa ulioibuka kati yake ya Rapa T.I juu ya usaliti na mke wake Tameka au Tiny na kusema Tiny ndie aliyesababisha kila kitu ambapo wapenzi ha… Read More
0 comments:
Post a Comment