Facebook

Monday, 12 May 2014

Je unawajua wachezaji waloitwa timu ya taifa ya England kombe la dunia....l

article-2626081-1DC6124700000578-302_964x364Hatimaye kocha wa timu ya taifa ya England Roy Hodgson ametangaza kikosi cha timu hiyo kitakachoenda Brazil hivi punde.
Kikosi cha England kilichotangazwa kina majina ya wachezaji wafuatao:
Bnb9wUYIIAAcWgR.jpg-large
Goalkeepers: Joe Hart (Manchester City), Fraser Forster (Celtic), Ben Foster (West Brom) 

Defenders: Glen Johnson (Liverpool), Phil Jones (Manchster United), Phil Jagielka (Everton), Gary Cahill (Chelsea), Chris Smalling (Manchester United), Luke Shaw (Southampton), Leighton Baines (Everton), Steven Gerrard (Liverpool), Frank Lampard (Chelsea), Jordan Henderson (Liverpool), Ross Barkley (Everton), Jack Wilshere (Arsenal), Alex Oxlade-Chamberlain (Arsenal), Raheem Sterling (Liverpool), Adam Lallana (Southampton), James Milner (Manchester City)

Forwards: Daniel Sturridge (Liverpool), Wayne Rooney (Manchester United), Danny Welbeck (Manchester United), Rickie Lambert (Southampton)

Related Posts:

  • FAIDA YA MAN UTD 'KUTETEREKA'Manchester United imetangaza kuporomoka kwa faida ya kila mwaka wa fedha katika mwaka ambao David Moyes alikuwa meneja. Klabu hiyo ya Ligi Kuu ya England imesema kipato halisi kimeporomoka kwa asilimia 84 na kufikia takriban … Read More
  • Class of 92 waibuka na Coca Cola.Class of 92' wamekutana pamoja safari hii kukubali kufanya kazi na kampuni ya vinywaji baridi ya Coca Cola, na chupa za bidhaa hizo ziliandikwa majina ya magwiji hao. Nyota wazamani wa Manchester United Phil Neville alipost p… Read More
  • Maicon aondolewa timu ya taifa ya Brazil kwa kashfa ya "Ushoga" Brazil ilicheza mechi ya kirafiki na Colombia kule Miami Florida, hapo jumamosi, ikaibuka na ushindi wa 1-0, kwa goli lililofungwa na mshambuliaji wa Neymar. Hivi sasa Brazil inajiandaa kukipiga na Ecuador hapo Jumatano, Se… Read More
  • iPhone 6 Plus yatengenezwa kwa ajili ya Mashabiki wa Manchester United.Mashabiki ulimwenguni wamesema simu mpya aina ya iPhone 6 Plus imetolewa maalum kwa ajili ya mashabiki wa Manchester United ambayo kwenye simu ya kawaida haionekani kwa urahisi kwenye msimamo wa ligi kuu ya England lakini kup… Read More
  • Yanga kupinga maamuzi ya TFF juu ya Okwi.Uongozi wa klabu ya Yanga umesema utapinga maamuzi ya kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji kuhusiana na maamuzi yake ya kumtangaza mchezaji wake, Emmanuel Okwi kuwa huru. Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria ya Yanga, Sam Mapande… Read More

0 comments:

Post a Comment