Facebook

Wednesday, 21 May 2014

Mbwana Samatta Amtaja Aliyeimaliza Stars


Kwa wale waliotazama mchezo huo, Mahachi alikuwa amevaa jezi namba 11 na riboni mkononi ambapo alikuwa akiisumbua sana safu ya ulinzi mara kadhaa.

  Samatta alisema Stars ilijitahidi kutokana na hadhi ya Zimbabwe kuwa kubwa kwani wameshiriki michuano ya Afcon mwaka jana, hata hivyo uelewano baina yao uliwasaidia sana kupata ushindi huo, japo ni kiduchu.


“Kuna jamaa sikumkariri vizuri na jezi yake, lakini alikuwa akitumia sana mguu wa kushoto, mwenye rangi nyeupe kichwani, kweli alitusumbua mara kadhaa, ingawa tunashukuru tumepata ushindi.

“Ilikuwa mechi ngumu, lakini nafikiri kwa kuwa tunaongea lugha moja (Kiswahili), ilichangia kuelewana zaidi na kucheza kwa umakini kutokana na wapinzani wetu kuonekana kubadilika baadaye na kutushambulia,” alisema nyota huyo.


Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com kupata habari mbalimbali za michezo

Related Posts:

  • John Bocco aanza mazoezi Captain John Bocco ameanza mazoezi kidogo kidogo katika Gym ya kisasa ya Azam FC hapa Chamazi - Azam Complex, Captain anaendelea vizuri na jeraha lake alilolipata Kigali Rwanda akiitumikia timu yake ya Azam FC. Hii ni leo asb… Read More
  • Danny Welbeck aing'arisha Uingereza.Danny Welbeck straika mpya wa Arsenal alifunga mara mbili kuisaidia England kuifunga Switzerland kwa bao 2-0 katika mchezo wa kufuzu michuano ya Euro 2016. Mchezaji huyo wa zamani wa Manchester United aliziona vyavu dakika ya… Read More
  • Yanga kupinga maamuzi ya TFF juu ya Okwi.Uongozi wa klabu ya Yanga umesema utapinga maamuzi ya kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji kuhusiana na maamuzi yake ya kumtangaza mchezaji wake, Emmanuel Okwi kuwa huru. Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria ya Yanga, Sam Mapande… Read More
  • Maicon aondolewa timu ya taifa ya Brazil kwa kashfa ya "Ushoga" Brazil ilicheza mechi ya kirafiki na Colombia kule Miami Florida, hapo jumamosi, ikaibuka na ushindi wa 1-0, kwa goli lililofungwa na mshambuliaji wa Neymar. Hivi sasa Brazil inajiandaa kukipiga na Ecuador hapo Jumatano, Se… Read More
  • MZOZO WA NIGERIA NA FIFA WAISHAMabingwa wa Afrika, Nigeria huenda wameepuka kufungiwa kimataifa kuhusiana na mzozo wa uongozi katika chama cha soka cha nchi hiyo. Mzozo huo sasa umesuluhishwa, baada ya Chris Giwa kuondoa madai kuwa yeye ndio rais wa shirik… Read More

0 comments:

Post a Comment