Baadhi ya wanafunzi wa CBE Dodoma
wamekerwa na kitendo cha kuchafuliwa kwenye mtandao wa Instagram na mtu
ambaye hawajamfamu kwa jina ingawa baadhi yao wanadai kuwa ni
mwanafunzi mwenzao ambaye anatumia jina tofauti kabisa na lake na pia
yupo miongoni mwao lkn bado hawajamfahamu....
Mwanafunzi huyo anayetumia Akaunti Feki ya
Instagram anaposti picha za wanafunzi wenzake na kuwaponda kuwa ni malaya
wanaoujiuza.... pamoja na kuwachafua wengine kuwa ni mashoga. Baadhi ya
wanafunzi walio wengi wa CBE wamechukizwa na kitendo hicho cha
kuchafuliwa bila sababu yoyote na wamedhamiria kumsaka huyo mtu kwa
gharama yoyote ili aweze kuwajibishwa:Instargram anatumia jina
LEE_IN_BOY
Friday, 2 May 2014
Wanafunzi wa chuo cha CBE-DOM wachafuliwa kwa picha chafu na matusi mazito instagram.........fuatilia.....
Related Posts:
Wagonjwa wa Akili Hosptali ya Mirembe Watoroka Wagonjwa wa akili katika Hospitali ya Mirembe iliyoko mkoani Dodoma wametoroka katika wodi zao baada ya kutokea mgomo wa wafanyakazi wa kampuni ya ulinzi ya Mass inayolinda hospitalini hapo. … Read More
BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO FEBRUARI 28 BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa katika k… Read More
Chenge, Ngeleja, Tibaijuka wasimamishwa NEC ya CCM Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi kimewasimamisha ujumbe wa Halmshauri Kuu ya chama hicho NEC wanachama wake watatu ambao ni wajumbe wa NEC kufuatia na kuhusika kwao katika sakata la akaunti ya Tegeta Escrow. … Read More
BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO MACHI 1BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa katika ku… Read More
Mbunge John Komba afariki dunia Mbunge wa Mbinga Magharibi Mh. Kapteni John Komba amefariki Dunia leo saa 10 jioni katika Hosptali ya TMJ Mikocheni. Kwa Mujibu wa mtoto wa Marehemu Bw. Jerry Komba am… Read More
0 comments:
Post a Comment