Baadhi ya wanafunzi wa CBE Dodoma
wamekerwa na kitendo cha kuchafuliwa kwenye mtandao wa Instagram na mtu
ambaye hawajamfamu kwa jina ingawa baadhi yao wanadai kuwa ni
mwanafunzi mwenzao ambaye anatumia jina tofauti kabisa na lake na pia
yupo miongoni mwao lkn bado hawajamfahamu....
Mwanafunzi huyo anayetumia Akaunti Feki ya
Instagram anaposti picha za wanafunzi wenzake na kuwaponda kuwa ni malaya
wanaoujiuza.... pamoja na kuwachafua wengine kuwa ni mashoga. Baadhi ya
wanafunzi walio wengi wa CBE wamechukizwa na kitendo hicho cha
kuchafuliwa bila sababu yoyote na wamedhamiria kumsaka huyo mtu kwa
gharama yoyote ili aweze kuwajibishwa:Instargram anatumia jina
LEE_IN_BOY
Friday, 2 May 2014
Wanafunzi wa chuo cha CBE-DOM wachafuliwa kwa picha chafu na matusi mazito instagram.........fuatilia.....
Related Posts:
BantuTz MAGAZETINI. Ni utaratibu ambao BantuTz imeuanzisha wa kukuwezesha kupitia kurasa za nyuma na mbele za magazeti mbalimbali nchini. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . … Read More
Ndege ya rais wa China yahusishwa na wizi Pembe za ndovu Tanzania. Inadaiwa kuwa wanunuzi, raia wa Uchina walinunua maelfu ya kilo za pembe za ndovu nchini Tanzania na kuzitorosha kutoka nchini humo katika ndege ya kibinafsi ya raia wa Uchina Xi Jinping,wakati alipozuru bara Afri… Read More
BantuTz MAGAZETINI-PITIA KURASA ZA MAGAZETI YOTE LA LEO HAPA. BantuTz MAGAZETINI-Ni uratatibu ambao BantuTz imeuanzisha ili kuwawezesha wadau wote wa Bantu waweze kusoma na kupitia kurasa za magazeti mbalimbali nchini kila siku asubuhi ili kuwasogezea karibu zaidi huduma kupata habari… Read More
Hilo ndilo daraja kubwa kutoka Zanzibar hadi Dar Es Salaam.Unaweza ukadhani ni ndoto lakini hii ni habari ya kweli baada ya Hifadhi ya jamii NSSF kutangaza uwezekano wa kujengwa daraja la kihistoria zaidi litakalounganisha Dar es salaam na Zanzibar. Uwepo wa daraja hilo unaweza k… Read More
Basi la Happy Nation lapata ajali mbaya Igurursi-Mbeya Taarifa zilizotufikia Muda huu zinasema kwamba kuna ajali mbaya imetokea katika eneo la Igurusi ,Kikosi kazi cha Mbeya yetu kinaelekea eneo la Tukio muda huu. Endelea kutembelea www.bantutz.com uweze kujua kila… Read More
0 comments:
Post a Comment