Facebook

Thursday, 19 June 2014

Okocha amlaumu kocha wa Nigeria.

Photo: OKOCHA AMLAUMU KESHI
Nahodha wa zamani wa Nigeria Jay Jay Okocha amemlaumu kocha Stephen Keshi kwa timu yake kushindwa kucheza vizuri katika mechi yao ya kwanza ya Kombe la Dunia kundi F dhidi ya Iran siku ya Jumatatu.
Timu hizo zilitoka sare ya bila kufungana.
"Huu ulikuwa mchezo ambao lazima tushinde. Hatukufanya vya kutosha, tulicheza chini ya kiwango," amesema Okocha.

Nahodha wa zamani wa Nigeria Jay Jay Okocha amemlaumu kocha Stephen Keshi kwa timu yake kushindwa kucheza vizuri katika mechi yao ya kwanza ya Kombe la Dunia kundi F dhidi ya Iran siku ya Jumatatu.
Timu hizo zilitoka sare ya bila kufungana.
"Huu ulikuwa mchezo ambao lazima tushinde. Hatukufanya vya kutosha, tulicheza chini ya kiwango," amesema Okocha.
 
Tumehamia katika site hii mpya na bado tuko katika maboresho,hii ni katika hatua za awali kabisa kuiboresha site yetu na utoaji wa habari na burudani.Vitu vingi vitaonekana katika site hii mpya hivi karibuni.Endelea kutembelea www.bantutz.com

Related Posts:

  • Ushindi wa Ujerumani wavunja rekodi za Twitter.    Ushindi wa Ujerumani wa 7-1 dhidi ya Brazil katika nusu fainali ya Kombe la Dunia umekuwa gumzo kubwa. Mchezo huo umekuwa jambo la kimichezo lililojadiliwa zaidi kwenye mtandao wa Twitter mpaka sasa. … Read More
  • Van Gaal "Nafasi ya tatu haina maana"    Kocha wa Uholanzi Louis van Gaal amesema kumaliza Kombe la Dunia kwa kucheza kutafuta nafasi ya tatu "si haki". Mholanzi huyo, ambaye timu yake ilipoteza kwa Argentina kwa mikwaju ya penati, atakabiliana na … Read More
  • Mananchester United waanza mazoezi, wa"Mkopo" wote warejea.   MANCHESTER UNITED walianza Mazoezi rasmi kwa ajili ya Ziara ya Kabla Msimu Mpya ya huko Marekani na Wachezaji kadhaa waliokuwa nje kwa Mkopo Msimu uliopita wamerejea na kujumuika huko AON Training Complex Jijini … Read More
  • Mashabiki wa Ghana wazamia Brazil     Zaidi ya mashabiki mia mbili wa soka kutoka Ghana walioingia Brazil kwenda kutazama Kombe la Dunia wameomba hifadhi ya ukimbizi nchini humo.     Polisi wa Brazil katika mji wa Caxias do Sul wa… Read More
  • Van Gaal "Wachezaji walikataa kupiga Penati"     Kocha wa Uholanzi Louis van Gaal amesema wachezaji wake wawili walikataa kupiga penati ya kwanza katika mchezo wao wa nusu fainali dhidi ya Argentina katika Kombe la Dunia. Beki Ron Vlaar alijitolea ku… Read More

0 comments:

Post a Comment