Saturday, 21 June 2014
Wema amchana aliyemzushia kuwa na ujauzito wa Diamond
Miss Tanzania 2006 pia Actress mwanadada mwenye nyota ya ajabu ambaye anakimbiza hapa Tzee Wema Sepetu a.k.a Mrs .Nasibu Abdul alias Daimond Platinum amemtaja mtu ambaye alimzushia kwamba anaujauzito kwenye mtandao mmoja wa kijamii uiitwao Instagram kuwa ni shabani amri ambaye anapatikana kwa jina ili(@shabani amri5) “Halafu usione nakaa kimya mkaona labda siumii kizazi ulinipa wewe?….. mpaka uniamrishe nizae…Sina kizazi sasa …kama unaweza nipe nizae..Dah! nawavumilia tu …mi pia binadamu nina moyo…unahisi kwa akili yako sitaki mtoto ama nini? …Zaa zaa zaa …kama wewe umebarikiwa kuzaa hongera..Im tired of this kuzaa bullshit….!!!Leave me and my Life alone “ aliandika wema kwenye ukurasa wake wa Instagram
Related Posts:
Mama mzazi wa mbunge Zitto Kabwe amefariki dunia. Ni taarifa nilizopata asubuhi ya June 1 2014 kuhusu kifo cha mama mzazi wa mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe aitwae Bi Shida ambapo aliethibitisha kifo hicho ni Zitto Kabwe mwenyewe. katemimethsela.blogsp… Read More
Venessa Mdee afunguka kulichopelekea kutokufanya Kipindi cha The One Show,Marehemu George Tyson atajwa Venessa Mdee hajawai kusema sababu ya kuacha kufanya The One show ambayo alianza hadi ku-shoot. Hivi sasa amesema sababu hiyo akimhusisha George Tyson kama mtu aliyempa moyo kwenye maamuzi yake Soma Hapa Chi… Read More
Kifo Cha George Tyson Chamliza Mboni Mwasimba,AY aonesha upendo wa dhati... Mtangazaji wa kipindi cha Mboni Show, Mboni Masimba akilia kwa uchungu akiwa nje ya Hospitali ya Mkoa wa Morogoro wakati wakisubiri kusafirisha maiti kuelekea Dar. Marehemu Tyson ndiye alikuwa Mtayarishaji wa … Read More
Picha:Show ya Kili tour jijini Mwanza,Ommy Dimpoz,VMoney,Fid Q,Ben Pol wafunika.... Kili tour bado inaendelea na listi ndefu ya wasanii wamewafurahisha wakazi wa Mwanza na show kali. Kama hukupata nafasi ya kujumuika jijini Mwanza, hizi ni picha ya kilichofanyika kwenye steji. … Read More
Mboni afunguka kuhusu George Tyson Kazi kubwa ya George Tyson ilikuwa ni ku-direct vipindi vya TV vya Mboni Show na Vingine vingi Endelea kutembelea katemmethsela.blogspot.com uweze kupata kila taarifa itakayohusiana na kifo cha directo… Read More
0 comments:
Post a Comment