Saturday, 21 June 2014
Wema amchana aliyemzushia kuwa na ujauzito wa Diamond
Miss Tanzania 2006 pia Actress mwanadada mwenye nyota ya ajabu ambaye anakimbiza hapa Tzee Wema Sepetu a.k.a Mrs .Nasibu Abdul alias Daimond Platinum amemtaja mtu ambaye alimzushia kwamba anaujauzito kwenye mtandao mmoja wa kijamii uiitwao Instagram kuwa ni shabani amri ambaye anapatikana kwa jina ili(@shabani amri5) “Halafu usione nakaa kimya mkaona labda siumii kizazi ulinipa wewe?….. mpaka uniamrishe nizae…Sina kizazi sasa …kama unaweza nipe nizae..Dah! nawavumilia tu …mi pia binadamu nina moyo…unahisi kwa akili yako sitaki mtoto ama nini? …Zaa zaa zaa …kama wewe umebarikiwa kuzaa hongera..Im tired of this kuzaa bullshit….!!!Leave me and my Life alone “ aliandika wema kwenye ukurasa wake wa Instagram
Related Posts:
BantuTz MAGAZETINI:SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA KURASA ZA MAGAZETI YOTE YA LEO APRIL 1,2014. BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa k… Read More
BantuTz MAGAZETINI:SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA KURASA ZA MAGAZETI MBALIMBALI YA LEO MACHI 31,2015. BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa k… Read More
Mchungaji Gwajima aondolewa chumba cha Wagonjwa mahututi. Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima aondolewa katika chumba cha uangalizi Maalum (ICU) TMJ baada ya kupata nafuu na hali yake kuendelea vizuri. … Read More
Mapacha watatu waja na mabadiliko Kutoka kundi la Mapacha Watatu, Msanii wa Muziki Khaleed Chokoraa ameeleza kurejea na mabadiliko makubwa katika muziki wao wa dansi.Mabadiliko hayo makubwa ikiwepo kupunguza kutaja majina ya watu na vilevile urefu wa nyimbo … Read More
TANZIA ABDU BONGE AFARIKI DUNIA.Aliyewahi kuwa Meneja wa wasanii na mwanzilishi wa kundi la Tip Top Connection, Abdu Bonge amefariki dunia ghafla usiku Wa kuamkia leo akiwa nyumbani kwake. Mmoja wa wasanii aliye kundi la Tip Top Connection Madee, amesema ku… Read More
0 comments:
Post a Comment