Mh. Tundu Lissu mbunge na mwanasheria mashuhuri akichangia hoja katika
wizara ya mambo ya ndani ameulizia sheria ambayo imemruhusu Salma
Kikwete kufanya mikutano ya kisiasa Mtwara wakati jeshi la polisi
lilipiga marufuku mikutano ya vyama vya siasa tangu kipindi cha mgogoro
wa gesi. Kaongezea kwa kuuliza kuwa au ni kigezo ni kuwa mke wa rais
Kikwete? Kaulizia hivyo kwa sababu imeonekana mikutano ya vyama vya
upinzani inapata vikwazo vingi sana na jeshi la polisi wakati mikutano
ya CCM inaruhusiwa kirahisi. Update:
Hadi waziri anahitimisha kujibu hoja za wabunge hili swali la Lissu hajalijibu
Matatizo ya Makumbusho na Mwenge kipindi hiki cha mabadiliko
Askari wa usalama barabarani, Kinondoni, wakitoa maelezo kwa madereva wanaofanya safari za Makumbusho-Bagamoyo.
Kuhusu kuhamishwa kwa kituo cha mabasi ya daladala kutoka Mwenge kwenda
Makumbusho ambapo malalamiko yanahu…Read More
Kituo cha Makumbusho chaanza kazi rasmi
Baadhi ya abiria wakisubiri mabasi katika kituo kipya cha Makumbusho.
Katikati
kulia ni Afisa Mfawidhi Kanda ya Mashariki Sumatra Coneao Shio kushoto
ni Mkuu wa Kituo cha Usalama barabarani Wilaya ya Kinondoni Solomon…Read More
0 comments:
Post a Comment