Facebook

Thursday, 1 May 2014

Wanane wauawa Jamhuri ya Afrika ya Kati........


Vikosi vya Umoja wa Afrika nchini Jamhuri ya afrika ya kati vinasema kuwa watu wanane wameuawa na vikosi vya Chad katika mji mkuu wa Bangi.
Vyombo vya habari hatahivyo vimeiweka idadi hiyo kuwa juu zaidi.
Vikosi hivyo ambavyo vilikuwa vimewasili mjini humo ili kuwatorosha raia wa Chad wanaoishi nchini humo vinadaiwa kuwafyatulia risasi wakaazi wanaoishi katika maeneo ya wakristo ya mji wa Bangi.
Chad imeshtumiwa kwa kuwaunga mkono waasi wa kiislamu wa seleka ambao mwaka uliopita waliipindua serikali.
Taifa hilo la Jamhuri ya afrika ya kati limekumbwa na ghasia za kidini tangu kupinduliwa kwa rais Franswa Bozize.

Related Posts:

  • " Game of Thrones" yajinyakulia tuzo kubwa Marekani. Tamasha kubwa la kila mwaka Emmys Awards, la kutoa tuzo kwa vipindi vya televisheni limefanyika mjini Los Angeles Marekani. Kipindi cha Game of Thrones, kimenyakua matuzo mengi zaidi ikiwemo makala bora zaidi. Viola Davis nay… Read More
  • Papa awasili Marekani apokewa na ObamaKiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis amewasili nchini Marekani katika siku ya kwanza ya ziara ya kihistoria nchini humo ambapo amelakiwa na Rais wa nchi hiyo Barack Obama. Papa Francis aliwasili kwenye uwanja wa n… Read More
  • Wanasayansi watengeneza figo maabara. Je una matatizo ya figo ? Ikiwa jibu lako ni ndiyo kuwa na subira, maanake hivi karibuni figo zilizoundwa kwenye viwanda na maabara vitakuwepo kuwasaidia. Nafahamu kuwa waganga wengi wamewaahidi tiba lakini hii sio hekaya tu… Read More
  • Bomu laua watu 6 katika makao ya Rais Somalia.Bomu lililotegwa ndani ya gari limelipuka karibu na lango kuu la jumba la rais katika mji mkuu wa Mogadishu. Takriban watu sita wamefariki,ikiwemo walinzi wa rais.Raia mmoja wa Uturuki pia aliuawa. Wengine 10 waliripotiwa kuj… Read More
  • Panya wasababisha kifo 'Jela ya Mandela'Watu karibu 4,000 wameondolewa kutoka jela ya Pollsmoor nchini Afrika Kusini baada ya panya wengi kuvamia gereza hilo na kusababisha kifo cha mfungwa mmoja. Kiongozi wa zamani wa nchi hiyo Nelson Mandela aliwahi kufungwa kati… Read More

0 comments:

Post a Comment