Kocha Arsene Wenger yuko kwenye mbio za kumuwania Mario Balotelli.Timu
ya AC Milan wako mbioni kutua mzigo huo wa zamani wa Manchester City
kwenye kipindi hiki cha jua, Arsenal wameshapaza sauti.
Meneja wa washika bunduki amekuwa akimhusudu Balotelli (23), pamoja
na kwamba ana matatizo ya kinidhamu hasa wakati alipokuwa City ambapo
alikuwa mmoja wa watu waliokuwa wakiipamba Ligi Kuu.
Balotelli, ambaye aliifungia AC Milan magoli 30 katika mechi 54, ana
umuhimu wa kurejea Uingereza baada ya kuwa mchezaji wa ziada kwa
wachezaji wa San Siro.
Nguli hao wa Italia wanataka pesa taslimu kwa ajili yake na kukata
malipo yao ya posho baada ya kumsainisha kwa pauni milioni 24 miezi 18
iliyopita.
Wenger alijaribu kumsainisha Balotelli kabla ya kwenda City akitokea
Inter Milan na alizungumza naye mwaka 2009 kuwa ana uwezo wa kufika
mbali.
Tuko
katika maboresho hivi karibuni blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za kuboresha huduma
zetu za kutoa habari,tutakuja katika muonekano mpya na bora zaidi
Related Posts:
Giggs akutana na Van Gaalkujadili hatma yake Man Utd..
Mazungumzo: Ryan Giggs (pichani akiwa na mke wake Stacey mjini Manchester) alikuwa Uholanzi kukutana na Louis van Gaal.
RYAN
Giggs leo mchana alikuwa nchini Uholanzi kwa ajili ya … Read More
Ngebe,Vitimbi, Vituko vyatawala Uchaguzi mkuu Simba
Vitimbi, vituko, na kejeli zilitawala jana makao makuu ya klabu ya Simba
wakati wagombea uongozi wakirudisha fomu, huku mgombea urais, Michael
Wambura akiambatana na viongozi wa dini waliomwaga sala.
Wambura, ambaye … Read More
Tottenham Hotspurs yamtimua kocha wake ‘Tim Sherwood’
Kibarua cha kocha wa klabu ya Tottenham Hotspurs, Tim Sherwood
kimeota nyasi baada ya klabu hio kutangaza kufukuzwa kazi kwa kocha
huyo. Hii ni baada ya miezi 6 kwenye kazi hio na kuonekana hafai
kumiliki game za klabu hi… Read More
Mtoto wa Kocha Mourinho Asaini Kuichezea Fulham
MTOTO wa Kocha, Jose Mourinho amesainishwa mkataba na klabu ya Fulham
kama mwanafunzi baada ya kuruhusiwa kufanya hivyo na Shirikisho la Soka
la Kimataifa (Fifa).
Mtoto huyo ambaye ni kipa, Jose amekuwa akiichez… Read More
Alichosema Rio Ferdinand kuhusu Kuondoka Man Utd na Hatma Yake,,,,,,
Jana usiku maisha ya kisoka ya beki wa kimataifa wa England Rio
Ferdinand ndani ya klabu ya Manchester United yalifikia mwisho baada ya
kutangaza kwamba ameamua kuachana na klabu hiyo.
Rio Ferdinand ambaye alijiun… Read More
0 comments:
Post a Comment