Facebook

Sunday, 8 June 2014

Dondoo muhimu kuhusu Kombe la dunia nchini Brazil..

 Photo: SIKU TANO KABLA YA KOMBE LA DUNIA
Je wafahamu kuwa...
Brazil ni nchi ya tano duniani kuandaa Kombe la Dunia kwa mara ya pili -- baada ya miaka 64. Brazil iliandaa michuano ya nne ya Kombe la Dunia mwaka 1950. Uwanja wa Maracanã Rio de Janeiro ulijengwa mahsusi kwa ajili ya michuano hiyo, na utatumika pia mwaka huu.
Nchi nyingine ambazo zimeandaa Kombe la Dunia mara mbili ni: Mexico (1970, 1982), Italy (1934, 1990), Ufaransa (1938, 1998), na Ujerumani (1974, 2006).
 
Je wafahamu kuwa...
Brazil ni nchi ya tano duniani kuandaa Kombe la Dunia kwa mara ya pili -- baada ya miaka 64. Brazil iliandaa michuano ya nne ya Kombe la Dunia mwaka 1950. Uwanja wa Maracanã Rio de Janeiro ulijengwa mahsusi kwa ajili ya michuano hiyo, na utatumika pia mwaka huu.
Nchi nyingine ambazo zimeandaa Kombe la Dunia mara mbili ni: Mexico (1970, 1982), Italy (1934, 1990), Ufaransa (1938, 1998), na Ujerumani (1974, 2006).
 
 
Tuko katika maboresho hivi karibuni blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za kuboresha huduma zetu za kutoa habari na burudani.Tutakuja katika muonekano mpya na bora zaidi.Vitu vizuri vipya usivyotarajia utaviona na kufurahia kupitia www.bantutz.com....

Related Posts:

  • Eto’o hatihati kuwakosa Croatia. Nahodha wa Cameroon Samuel Eto’o huenda akakosa mechi ya Kombe la Dunia dhidi ya Croatia siku ya Jumatano kutokana na majeraha. Eto’o hajafanya mazoezi kwa siku mbili na huenda asipone kwa wakati kwa ajili… Read More
  • Ujerumani yaifumua Ureno bila huruma, Thomas Mueller ndiye mchezaji wa kwanza kufunga mabao matatu katika mechi moja Brazil Thomas Muller alifunga mabao matatu na kuisaidia Ujerumani kuishinda Ureno mabao manne kwa nunge. Mlinzi wa U… Read More
  • Mourinho amuonya Roy Hodgson kuhusu Rooney Kocha Jose Mourinho amekosoa nafasi aliyopangwa Wayne Rooney kwenye mechi ya England na Italia huko Manaus, Brazil. Italia walishinda 2-1. Jose Mourinho ameyavulia nguo maji yasiyo yake kwa kutoa tathmini ya m… Read More
  • Nigeria na Iran zatoka sare. Timu ya Iran na Nigeria zilitoka sare ya suluhu bin suluhu , katika mechi yao ya kundi F huko Curitiba, kwenye fainali ya kombe la dunia siku ya Jumatatu. Timu hiyo ya Carlos Queiroz ilioneka… Read More
  • Ufaransa yafaidi "Goal Line Technology" Ufaransa yafaidi Teknolojia ya kuwasaidia marefarii Brazil 2014 Ufaransa ndiyo timu ya kwanza kuwahi kufaidi matumizi ya teknolojia ya kisasa kuzuia ubishi katika mechi ya kombe la dunia linaloendelea huko Braz… Read More

0 comments:

Post a Comment