Mwimbaji wa Marekani Kelly Rowland ameonekana kuthibitisha taarifa kuwa ni mja mzito.
Huu utakuwa uja uzito wa kwanza kwa msanii huyu wa zamani wa kundi la Destiny's child.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Kelly amebandika picha ya jozi mbili za viatu, vikubwa na vidogo huku akisema "Nitakuwa wa kuvutia kama baba yangu...."
Kelly na Tim Witherspoon walioana mwezi Mei mwaka huu nchini Costa Rica, na miongoni mwa wageni waalikuwa walikuwa Beyonge na mdogo wake Solange.
Huu utakuwa uja uzito wa kwanza kwa msanii huyu wa zamani wa kundi la Destiny's child.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Kelly amebandika picha ya jozi mbili za viatu, vikubwa na vidogo huku akisema "Nitakuwa wa kuvutia kama baba yangu...."
Kelly na Tim Witherspoon walioana mwezi Mei mwaka huu nchini Costa Rica, na miongoni mwa wageni waalikuwa walikuwa Beyonge na mdogo wake Solange.
Hivi sasa
tunahamia katika site yetu mpya inayoitwa www.bantutz.com
ni katika kuboresha huduma zetu za kutoa habari za uhakika na burudani.
0 comments:
Post a Comment