Facebook

Friday, 13 June 2014

Kelly Rowland "Mama Kijacho" ?

Photo: KELLY ROWLAND "TAYARI?"
Mwimbaji wa Marekani Kelly Rowland ameonekana kuthibitisha taarifa kuwa ni mja mzito.
Huu utakuwa uja uzito wa kwanza kwa msanii huyu wa zamani wa kundi la Destiny's child.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Kelly amebandika picha ya jozi mbili za viatu, vikubwa na vidogo huku akisema "Nitakuwa wa kuvutia kama baba yangu...."
Kelly na Tim Witherspoon walioana mwezi Mei mwaka huu nchini Costa Rica, na miongoni mwa wageni waalikuwa walikuwa Beyonge na mdogo wake Solange.
 
 Mwimbaji wa Marekani Kelly Rowland ameonekana kuthibitisha taarifa kuwa ni mja mzito.
Huu utakuwa uja uzito wa kwanza kwa msanii huyu wa zamani wa kundi la Destiny's child.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Kelly amebandika picha ya jozi mbili za viatu, vikubwa na vidogo huku akisema "Nitakuwa wa kuvutia kama baba yangu...."
Kelly na Tim Witherspoon walioana mwezi Mei mwaka huu nchini Costa Rica, na miongoni mwa wageni waalikuwa walikuwa Beyonge na mdogo wake Solange.
 
 
 
 
 
 
Hivi sasa tunahamia katika site yetu mpya inayoitwa www.bantutz.com ni katika kuboresha huduma zetu za kutoa habari za uhakika na burudani.

Related Posts:

  • Hamisa Mobeto:kamwe sitashea penzi la Diamond na Wema Sepetu   Kiapo:Modo maarufu Bongo, Hamisa Mobeto amefunguka kuwa katika maisha yake, kamwe hawezi kushea na mwigizaji Wema . Modo maarufu Bongo , Hamisa Mobeto. Hamisa alisema watu wamekuwa wakimkosea kumtaja kuwa anawez… Read More
  • Lulu tena !  Si mwingine ni yule yule Elizabeth Michael A.k.A LuLu.....Hii ni moja ya picha zake zilizosambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii. Normal 0 false false false EN-US X-NO… Read More
  • Mwanamziki apasuliwa huku akiimba. Alama Kante afanyiwa upasuaji Katika tukio la kwanza la aina yake mwanamziki mmoja nchini Ufarasa amefanyiwa upasuaji kuondoa uvimbe kooni huku akiimba. Madaktari wanasema hatua hiyo ilichukuliwa ili kuepuka kuharibu… Read More
  • Wema akana kuwa na Mimba ya Diamond !   Staa wa movie Tanzania a.k.a Mrs. Diamond Platnumz ameamua kuandika ukweli kuhusu stori ulizosikia kwamba kwa sasa ni mjamzito… Kupitia page yake ya instagram Wema ameandika ‘Jamani hizi habari za mimi kuwa pregn… Read More
  • Unamjua kidume anayemfaidi Agnes Masogange ? Kama mnavyojua dada yetu Masogange kwa muda sasa yupo nchini South Africa na amekuwa sio mchoyo wa picha zake, wakati wote amekuwa anashare nasi picha zake kupitia ukurasa wake wa Instagram Sasa mimi sijajua Sauzi… Read More

0 comments:

Post a Comment