Katibu mkuu wa shirikisho la FIFA duniani Sepp Blatter
Madai mapya ya ufisadi yametolewa dhidi ya shirikisho la soka duniani FIFA kuhusiana na utata uliosababisha taifa la Qatar kupewa rukhsa ya kuandaa michuano ya kombe la dunia ya mwaka 2022.
Bwana Hammam amekataa kujibu madai hayo mapya.
Lakini mwandishi anayesimamia michezo amesema kuwa wataishinikiza FIFA kuanzisha kura mpya ya kuandaa michuano hiyo ya mwaka 2022.
0 comments:
Post a Comment