Facebook

Sunday, 1 June 2014

Madai ya ufisadi dhidi ya FIFA yatolewa

Katibu mkuu wa shirikisho la FIFA duniani Sepp Blatter

Madai mapya ya ufisadi yametolewa dhidi ya shirikisho la soka duniani FIFA kuhusiana na utata uliosababisha taifa la Qatar kupewa rukhsa ya kuandaa michuano ya kombe la dunia ya mwaka 2022.
Gazeti la Sunday Times kutoka Uingereza limesema kuwa limepata stakhabadhi zinazoonyesha vile aliyekuwa afisa wa shirikisho hilo nchini Qatar Mohammed bin Hammam alivyowalipa mamilioni ya madola maafisa wa soka kwa madhumuni ya kuiunga mkono Qatar kuandaa mechi hizo.
Bwana Hammam amekataa kujibu madai hayo mapya.
Lakini mwandishi anayesimamia michezo amesema kuwa wataishinikiza FIFA kuanzisha kura mpya ya kuandaa michuano hiyo ya mwaka 2022.

Related Posts:

  • Marekani yaifumua Ghana 2-1 Marekani yalipiza kisasi cha kushindwa na Ghana 2-1katika kombe la dunia Bao la kichwa la John Brooks, katika dakika za mwisho za mechi ziliisaidia Marekani kuilaza Ghana kwa mabao mawili kwa moja, katika mchuan… Read More
  • Ujerumani yaifumua Ureno bila huruma, Thomas Mueller ndiye mchezaji wa kwanza kufunga mabao matatu katika mechi moja Brazil Thomas Muller alifunga mabao matatu na kuisaidia Ujerumani kuishinda Ureno mabao manne kwa nunge. Mlinzi wa U… Read More
  • Rooney katika mgogoro mzito Brazil Wayne Rooney achezeshwe katika nafasi gani ? Njama dhidi ya Wayne Rooney yaweza kuhatarisha matarajio yao katika kombe la dunia. Frank Lampard ameonya. Uc… Read More
  • Hispania yaaga kombe la dunia Brazil. Kufuatia ushindi huu wa mabao 2-0 mikononi mwa Chile mabingwa watetezi wa kombe la dunia Uhispania sasa wamehakiki tikiti za ndege kurejea nyumbani pam… Read More
  • Nigeria na Iran zatoka sare. Timu ya Iran na Nigeria zilitoka sare ya suluhu bin suluhu , katika mechi yao ya kundi F huko Curitiba, kwenye fainali ya kombe la dunia siku ya Jumatatu. Timu hiyo ya Carlos Queiroz ilioneka… Read More

0 comments:

Post a Comment