Mwimbaji maarufu wa injili nchini Nigeria Kefee Obareki Don-Momoh amefariki dunia nchini Marekani.
Akijulikana zaidi kama "Branama Queen" inasemeka aliugua akiwa ndani ya ndege kuelekea Marekani wiki mbili zilizopita.
Alikuwa mke wa DJ Teddy Don-Momoh, na nyimbo zake zilizotamba sana ni Branama na Kokoroko.
Akijulikana zaidi kama "Branama Queen" inasemeka aliugua akiwa ndani ya ndege kuelekea Marekani wiki mbili zilizopita.
Alikuwa mke wa DJ Teddy Don-Momoh, na nyimbo zake zilizotamba sana ni Branama na Kokoroko.
Hivi
sasa tunahamia katika site yetu mpya inayoitwa www.bantutz.com
ni katika kuboresha huduma zetu za kutoa habari za uhakika na burudani
0 comments:
Post a Comment