Facebook

Sunday, 15 June 2014

Mwimbaji maarufu wa injili nchini Nigeria afariki dunia nchini Marekani.

 Photo: Mwimbaji maarufu wa injili nchini Nigeria Kefee Obareki Don-Momoh amefariki dunia nchini Marekani.
Akijulikana zaidi kama "Branama Queen" inasemeka aliugua akiwa ndani ya ndege kuelekea Marekani wiki mbili zilizopita.
Alikuwa mke wa DJ Teddy Don-Momoh, na nyimbo zake zilizotamba sana ni Branama na Kokoroko.
 
Mwimbaji maarufu wa injili nchini Nigeria Kefee Obareki Don-Momoh amefariki dunia nchini Marekani.
Akijulikana zaidi kama "Branama Queen" inasemeka aliugua akiwa ndani ya ndege kuelekea Marekani wiki mbili zilizopita.
Alikuwa mke wa DJ Teddy Don-Momoh, na nyimbo zake zilizotamba sana ni Branama na Kokoroko.
 
 Hivi sasa tunahamia katika site yetu mpya inayoitwa www.bantutz.com ni katika kuboresha huduma zetu za kutoa habari za uhakika na burudani

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment