Facebook

Wednesday, 11 June 2014

Rapper Lil Kim ajifungua mtoto wa kike

Rapper Lil Kim aliyezaliwa miaka 39 iliyopita, siku ya jana June 9 saa 3 na dakika 58
alijifungua asubuhi katika hospitali ya Hackensack University Medical Center iliyoko New Jersey, Marekani, kwa mujibu wa Huffingtonpost. Mtoto huyo amepewa jina la Royal Reign.
Baba wa mtoto huyo wa kwanza kwa Kim ni rapper Mr. Papers.



Tuko katika maboresho hivi karibuni blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za kuboresha huduma zetu za kutoa habari na burudani.Tutakuja katika muonekano mpya na bora zaidi.Vitu vizuri vipya usivyotarajia utaviona na kufurahia kupitia www.bantutz.com....


Related Posts:

0 comments:

Post a Comment