Facebook

Tuesday, 10 June 2014

Tetesi za usajili katika magazeti mbalimbali barani Ulaya.

 Photo: TETESI ZA SOKA ULAYA
Manchester United itasikiliza dau kwa timu inayotaka kumnunua kiungo wake Maroanne Fellaini, na wapo tayari kumuuza kwa pauni milioni 15, licha ya David Moyes kumnunua kwa pauni milioni 27 msimu uliopita (Times), rais wa Napoli Aurelio De Laurentiis amepuuzia taarifa zinazomhusisha winga Lorenzo Insigne kwenda Arsenal (Evening Standard), Jose Mourinho amefutilia mbali nia ya Real Madrid kumsajili Ramires (Daily Star), Arsenal wanajipanga kumchukua beki wa kulia wa Southampton, Callum Chambers, kuziba pengo la Bacary Sagna (Daily Mirror), mshambuliaji wa Atlètico Madrid Diego Costa amesema uhamisho wake wa pauni milioni 32 kwenda Chelsea uko karibu kukamilika (Metro), hatua ya Manchester United kumsajili beki wa kushoto wa Southampton, Luke Shaw iko mashakani baada ya Louis van Gaal kuanza kumtazama Jordi Alba wa Barcelona (Daily Express), QPR wanafikiria kumfanya beki wa kati wa zamani wa Man U, Rio Ferdinand kuwa mchezaji anayelipwa zaidi na klabu hiyo kwa kumpa pauni 80,000 kwa wiki (Guardian), meneja wa Napoli Rafael Benitez anataka kumsajili Jermaine Pennant, ambaye alikuwa naye Liverpool (Daily Mirror). Share tetesi hizi na wapenda soka wote. Tetesi nyingine kesho tukijaaliwa. Adios!
 

Manchester United itasikiliza dau kwa timu inayotaka kumnunua kiungo wake Maroanne Fellaini, na wapo tayari kumuuza kwa pauni milioni 15, licha ya David Moyes kumnunua kwa pauni milioni 27 msimu uliopita (Times),
 
 Rais wa Napoli Aurelio De Laurentiis amepuuzia taarifa zinazomhusisha winga Lorenzo Insigne kwenda Arsenal (Evening Standard), 
 
Jose Mourinho amefutilia mbali nia ya Real Madrid kumsajili Ramires (Daily Star), 
 
Arsenal wanajipanga kumchukua beki wa kulia wa Southampton, Callum Chambers, kuziba pengo la Bacary Sagna (Daily Mirror), 
 
Mshambuliaji wa Atlètico Madrid Diego Costa amesema uhamisho wake wa pauni milioni 32 kwenda Chelsea uko karibu kukamilika (Metro),
 
 Hatua ya Manchester United kumsajili beki wa kushoto wa Southampton, Luke Shaw iko mashakani baada ya Louis van Gaal kuanza kumtazama Jordi Alba wa Barcelona (Daily Express), 
 
QPR wanafikiria kumfanya beki wa kati wa zamani wa Man U, Rio Ferdinand kuwa mchezaji anayelipwa zaidi na klabu hiyo kwa kumpa pauni 80,000 kwa wiki (Guardian), 
 
Meneja wa Napoli Rafael Benitez anataka kumsajili Jermaine Pennant, ambaye alikuwa naye Liverpool (Daily Mirror). 
 
Share tetesi hizi na wapenda soka wote. Tetesi nyingine kesho tukijaaliwa. !
 
 
Tuko katika maboresho hivi karibuni blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za kuboresha huduma zetu za kutoa habari na burudani.Tutakuja katika muonekano mpya na bora zaidi.Vitu vizuri vipya usivyotarajia utaviona na kufurahia kupitia www.bantutz.com....

Related Posts:

  • Arsene Wenger azidi kumuwinda Mario Balotelli   Kocha Arsene Wenger yuko kwenye mbio za kumuwania Mario Balotelli.Timu ya AC Milan wako mbioni kutua mzigo huo wa zamani wa Manchester City kwenye kipindi hiki cha jua, Arsenal wameshapaza sauti. Meneja wa washika… Read More
  • Tetesi za Usajili barani Ulaya. Meneja wa Arsenal, Arsene Wenger anafikiria kumsaini striker wa AC Milan Mario Balotelli baada ya mchezaji huyo kuambiwa hahitajiki tena San Siro (Daily Mirror), Liverpool, Chelsea na Tottenham pia zinaweza kumfuatilia… Read More
  • Frank Lampard kuaga Chelsea Lampard anataka kustaaafu ingawa vilabu vingi vinataka kumsajili Kiungo cha kati wa Chelsea Frank Lampard ametangaza kwamba ataondok… Read More
  • Tetesi za usajili katika magazeti mbalimbali barani Ulaya.   Chelsea watajaribu kumsajili kiungo wa Barcelona Cesc Fabegas kuziba nafasi ya Frank Lampard (Daily Telegraph),    Nyota wa zamani wa Liverpool Robbie Fowler amemsihi Brendan Rodgers kumsajili Fabreg… Read More
  • Tetesi za usajili barani Ulaya.   Manchester United imekwisha fahamu wachezaji watano inayowataka, na meneja mpya Louis van Gaal atapewa paundi milioni 220 kuwapata. Van Gaal anataka kumchukua kiungo Kevin Strootman kutoka Roma ya Italia (Dail… Read More

0 comments:

Post a Comment