Facebook

Wednesday, 11 June 2014

Tetesi za usajili katika magazeti mbalimbali barani Ulaya..

Photo: TETESI ZA SOKA ULAYA
Arsenal huenda wakamkosa kipa wa Real Madrid, Iker Casillas, baada ya mpenzi wake kudai kuwa hatohama kutoka mji mkuu wa Spain, Madrid (Daily Express),lakini Arsenal huenda wakamsajili mshambuliaji wa Real Madrid Alvaro Morata na wapo tayari kupambana na Tottenham na Inter Milan wanaomtaka pia (Daily Express), Barcelona wamefikia makubaliano yasiyo rasmi na Marcus Reus wa Borussia Dortmund. Reus amekuwa akifuatiliwa pia na Manchester United (Talksport), wakati huohuo Manchester United wapo tayari kupokea pauni milioni 12 kwa kiungo wake Marouanne Fellaini ambaye alisaini mwaka jana kutoka Everton kwa pauni milioni 27 (Daily Star), Chelsea wanajaribu kumsajili Cesc Fabregas kutoka Barcelona katika mkataba ambao utahakikisha Arsenal haipati nusu ya faida itakayopata Barcelona (Daily Telegraph), Pepe Reina atarejea Liverpool kwa kuwa Napoli inashindwa kufikia madai ya Liverpool ya kubadili mkataba wa mkopo kuwa wa moja kwa moja (Metro), Manchester City watakamilisha usajili wa beki wa kati kutoka Porto, Fernando ifikapo mwisho wa wiki hii na pia kukamilisha usajili wa Bacary Sagna kutoka Arsenal(Daily Mail), Everton wana tumaini watafanikiwa kupambana na Arsenal katika kumsajili Samuel Eto'o kutoka Chelsea (Daily Express). Share tetesi hizi na wapenzi wa soka. Tetesi nyingine kesho tukijaaliwa. Adios!
 
Arsenal huenda wakamkosa kipa wa Real Madrid, Iker Casillas, baada ya mpenzi wake kudai kuwa hatohama kutoka mji mkuu wa Spain, Madrid (Daily Express)
 
Lakini Arsenal huenda wakamsajili mshambuliaji wa Real Madrid Alvaro Morata na wapo tayari kupambana na Tottenham na Inter Milan wanaomtaka pia (Daily Express)
 
Barcelona wamefikia makubaliano yasiyo rasmi na Marcus Reus wa Borussia Dortmund. Reus amekuwa akifuatiliwa pia na Manchester United (Talksport)
 
Wakati huohuo Manchester United wapo tayari kupokea pauni milioni 12 kwa kiungo wake Marouanne Fellaini ambaye alisaini mwaka jana kutoka Everton kwa pauni milioni 27 (Daily Star),
 
 Chelsea wanajaribu kumsajili Cesc Fabregas kutoka Barcelona katika mkataba ambao utahakikisha Arsenal haipati nusu ya faida itakayopata Barcelona (Daily Telegraph), 
 
Pepe Reina atarejea Liverpool kwa kuwa Napoli inashindwa kufikia madai ya Liverpool ya kubadili mkataba wa mkopo kuwa wa moja kwa moja (Metro),
 
 Manchester City watakamilisha usajili wa beki wa kati kutoka Porto, Fernando ifikapo mwisho wa wiki hii na pia kukamilisha usajili wa Bacary Sagna kutoka Arsenal(Daily Mail), 
 
Everton wana tumaini watafanikiwa kupambana na Arsenal katika kumsajili Samuel Eto'o kutoka Chelsea (Daily Express).
 
 Share tetesi hizi na wapenzi wa soka. Tetesi nyingine kesho tukijaaliwa. 
 
 
Tuko katika maboresho hivi karibuni blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za kuboresha huduma zetu za kutoa habari na burudani.Tutakuja katika muonekano mpya na bora zaidi.Vitu vizuri vipya usivyotarajia utaviona na kufurahia kupitia www.bantutz.com....

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment