Facebook

Sunday, 8 June 2014

Tetesi za usajili katika magazeti mbalimbali barani Ulaya.!

 Photo: TETESI ZA SOKA ULAYA WEEKEND HII
Real Madrid wanapanga kutoa pauni milioni 25 kumchukua kiungo wa Chelsea Ramires (The Sun), Liverpool, Arsenal na Manchester United zinakabiliwa na ushindani kutoka Paris St- Germain kumsajili winga wa Real Sociedad Antoine Griezmann. Sociedad wanakata kumuuza mchezaji huyo kabla Kombe la Dunia halijaanza (Daily Star), mshambuliaji wa QPR Loic Remy anataka kujiunga zaidi na Arsenal kuliko timu yoyote (Daily Mirror), Sunderland wametoa dau kutaka kumsajili beki wa Swansea Ashley Williams (Sky Sports), Chelsea wana uhakika wa kumsajili Cesc Fabregas kutoka Barcelona kwa chini ya pauni milioni 30 lakini watarekebisha mshahara wake wa pauni laki moja kwa wiki (Times), winga wa Blackpool, Tom Ince ataamua kwenda Tottenham, Everton au Newcastle, baada ya kukataa kwenda Inter Milan (Daily Express), Aston Villa wamemchombeza beki wa zamani Wa Man U Rio Ferdinand, ingawa Rio mwenyewe anataka kuchezea timu ya London (Daily Mail), Liverpool wanakaribia kukamilisha usajili wa winga wa Bayern Munich Xherdan Shaqiri (Daily Star), wakala wa Lorenzo Insigne anadai ni heshima kubwa kuhusishwa na Arsenal, ambao wanajiandaa kutoa pauni milioni 17 (Guardian), Marseille wameanza mazungumzo na Newcastle kuhusu kumsajili beki wa kati Mapou Yanga-Mbiwa (Newcastle Chronicle), kiungo wa Man City Samir Nasri huenda akasaini mkataba mpya wa miaka mitano (Guardian), Mshambuliaji wa Chelsea na Ubelgiji, Romelu Lukaku ameiambia Chelsea kuwa anataka kuondoka Darajani ( Daily Telegraph). Share tetesi hizi na wapenda soka wote. Tetesi nyingine kesho tukijaaliwa. Adios!
Real Madrid wanapanga kutoa pauni milioni 25 kumchukua kiungo wa Chelsea Ramires (The Sun), 
 
Liverpool, Arsenal na Manchester United zinakabiliwa na ushindani kutoka Paris St- Germain kumsajili winga wa Real Sociedad Antoine Griezmann. Sociedad wanakata kumuuza mchezaji huyo kabla Kombe la Dunia halijaanza (Daily Star), 
 
Mshambuliaji wa QPR Loic Remy anataka kujiunga zaidi na Arsenal kuliko timu yoyote (Daily Mirror), 
 
Sunderland wametoa dau kutaka kumsajili beki wa Swansea Ashley Williams (Sky Sports),
 
 Chelsea wana uhakika wa kumsajili Cesc Fabregas kutoka Barcelona kwa chini ya pauni milioni 30 lakini watarekebisha mshahara wake wa pauni laki moja kwa wiki (Times), 
 
Winga wa Blackpool, Tom Ince ataamua kwenda Tottenham, Everton au Newcastle, baada ya kukataa kwenda Inter Milan (Daily Express), 
 
Aston Villa wamemchombeza beki wa zamani Wa Man Utd Rio Ferdinand, ingawa Rio mwenyewe anataka kuchezea timu ya London (Daily Mail),
 
 Liverpool wanakaribia kukamilisha usajili wa winga wa Bayern Munich Xherdan Shaqiri (Daily Star), 
 
Wakala wa Lorenzo Insigne anadai ni heshima kubwa kuhusishwa na Arsenal, ambao wanajiandaa kutoa pauni milioni 17 (Guardian),
 
 Marseille wameanza mazungumzo na Newcastle kuhusu kumsajili beki wa kati Mapou Yanga-Mbiwa (Newcastle Chronicle),
 
 kiungo wa Man City Samir Nasri huenda akasaini mkataba mpya wa miaka mitano (Guardian), 
 
Mshambuliaji wa Chelsea na Ubelgiji, Romelu Lukaku ameiambia Chelsea kuwa anataka kuondoka Darajani ( Daily Telegraph).
 
 Share tetesi hizi na wapenda soka wote. Tetesi nyingine kesho tukijaaliwa. 
 
 
Tuko katika maboresho hivi karibuni blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za kuboresha huduma zetu za kutoa habari na burudani.Tutakuja katika muonekano mpya na bora zaidi.Vitu vizuri vipya usivyotarajia utaviona na kufurahia kupitia www.bantutz.com....

Related Posts:

  • Brazil kumtangaza kocha mpya Aliyekuwa mkufunzi wa timu ya soka ya Brazil Luiz Felipe Scolari Brazil inatarajiwa kumtangaza mkufunzi wake mpya katika … Read More
  • Gerrard astaafu rasmi soka la kimataifa.    Nahodha wa timu ya taifa ya England Steven Gerrard, 34, amestaafu kucheza soka la kimataifa. Akizungumza kwenye tovuti ya chama cha soka cha England FA amesema: "nimefurahia kila dakika niliyowakilisha nc… Read More
  • Nyota wa Nigeria asajiliwa West Brom.   West Brom wamemsajili mshambuliaji kutoka Nigeria Brown Ideye kwa kitita kinachodhaniwa kuwa pauni milioni 10. West Brom wametangaza kuwasili kwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25 akitokea Dynamo Kiev siku y… Read More
  • Tetesi za usajili katika magazeti mbalimbali barani Ulaya. Jose Mourinho hatomuuza Romelu Lukaku, 21, msimu huu (Sun),  Arsenal wanajiandaa na maisha bila Thomas Vermaelen baada ya Manchester United kupanda dau la pauni milioni 10 kumchukua beki huyo wa Ubelgiji (Dai… Read More
  • Patrice Evra ajiunga rasmi Juventus.   Patrice Evra amekamilisha uhamisho wake kutoka Manchester United kwenda Juventus. Beki huyo wa kushoto kutoka Ufaransa amekaa Old Trafford tangu mwaka 2006.  Manchester United ime tweet ikisema: "Patrice … Read More

0 comments:

Post a Comment