Facebook

Sunday, 22 June 2014

Wacheza kamari ya Kombe, wakamatwa

Macau, mji ambao biashara yake kubwa ni uchezaji wa kamari
Polisi wa Macau wanasema wamegundua magengi mawili ya kamari ambayo yamepokea mamilioni ya dola katika kamari ya kubahatisha matokeo ya mechi za Kombe la Dunia.
Maafisa wa polisi wamewakamata watu zaidi ya 20 kwenye hoteli katika mji huo wa kamari.
Watu hao wamekuwa wakipokea simu kutoka sehemu mbalimbali za dunia, na mcheza kamari mmoja ametia dau la dola milioni-5.
Mwandishi mmoja mjini Hong Kong, jirani na Macau, anasema magengi hayo yakipata dola mia-moja-milioni kila siku kwa wateja wanaobahatisha matokeo ya Kombe la Dunia, na wateja wakiwasiliana nao kwa simu na kwenye internet.
Kati ya watu waliokamatwa 9 ni kutoka Malaysia, 4 kutoka Hong Kong na 13 kutoka Uchina bara

Related Posts:

  • UHOLANZI v COSTA RICA UHOLANZI: Cillessen, Vlaar, De Vrij, Martins Indi, Blind, Van Persie (c), Sneijder, Robben, Kuyt, Wijnaldum, Depay COSTA RICA: Navas, Acosta, Gonzalez, Umana, Borges, Bolanos, Campbell, Ruiz (c), Diaz, Gambo… Read More
  • Mourinho;”Thiago Silva muhimu kuliko Neymar” Kocha wa Chelsea Jose Mourinho,amedai kuwa beki Thiago Silva ndio mtu muhimu  katika kikosi cha Brazil zaidi ya Neymar,kocha huyo anaamini kwamba Brazil wa mtamkosa mtu muhimu katika hatu… Read More
  • James Rodriguez afunguka kuhusu kutokwa na machozi. James Rodriguez amesisitiza kwamba alishindwa kuvumilia machungu aliyoyapata mara baada ya kutolewa katika michuano ya Kombe la Dunia katika hatua ya robo fainali ukizingatia walivyo wakicheza kwa k… Read More
  • Jezi mpya za United zavuja Man United wanakuja na kocha mpya, jezi mpya zikiwa na mdhamini mpya Chevrolet. Fulana mpya za Manchester United watakazovaa wakiwa nyumbani zimevuja mtandaoni – picha mpya za fulana hizo… Read More
  • Fellaini "Sina cha kuonyesha Man Utd"   kiungo wa Man united Marouane Fellaini amesema hana cha kuonyesha Man united. Mchezaji huyo alie sajiliwa kwa dau la paundi milioni 27 toka timu ya Evarton na kocha David Moyes amekua akitawaliwa na kiwango c… Read More

0 comments:

Post a Comment