Nyota wa Ivory Coast Yaya na Kolo Toure wametaarifiwa kuhusu kifo cha
mdogo wao wakati wakiwa kwenye Kombe la Dunia nchini Brazil.
Ibrahim Toure alifariki siku ya Alhamisi mjini Manchester, akiwa na umri wa miaka 28.
Chama cha Mpira wa miguu cha Ivory Coast kilisema: “Ujumbe wote wa
Ivory Coast wanataka kuonyesha faraja na rambi rambi kwa wachezaji hao.
“Katika hali hiyo ya huzuni, timu nzima ya Ivory Coast na ujumbe
mzima hapa Brazil, wanaungana mkono na ndugu wa Toure na familia kwa
ujumla.”
Waliongeza: “Rais wa Shirikisho la mpira wa miguu la Ivory Coast na Kamati Kuu wameomba Waivoriani kuwaombea dua”.
Ibrahim Toure alicheza kama mshambuliaji katika kipindi chote cha soka, hususani akiwa na timu ya Lebanon ya Al-Safa SC.
Poleni, endeleeni kulipigania taifa, Waivoriani wako nyuma yenu.
Related Posts:
Breaking News:Kocha wa zamani wa Barcelona, Tito Vilanova afariki dunia..........
Kocha wa zamani wa Barcelona Titto Vilanova aliyestaafu baada ya kusumbuliwa na maradhi ya kansa kwa muda mrefu leo hii amefariki dunia akiwa na miaka 45,
Ni majonzi makubwa kwa klabu yake ya Barcelona aliyoichezea… Read More
Giggs akutana kwa mara ya kwanza na waandishi wa habari.................
"I am proud, I am happy and a little nervous,"
said the midfielder at his first news conference
as boss.
Giggs appeared relaxed and jovial as he
addressed the media at United's Carrington
training base, saying he wanted to … Read More
Kocha mpya wa Muda Man Utd,Ryan Giggs kukutana na waandishi wa habri leo hii....................
Arudisha desturi zote za Sir Alex Ferguson
LEO hii, Ryan Giggs atafanya Mkutano wake wa kwanza na Wanahabari tangu ateuliwe kuwa Meneja mpya wa Manche… Read More
Ronaldo,Messi na Neymar tayari wameshaibiwa "kombe la dunia"......................
WAKUSANYAJI
wa Stika huko Jijini Rio De Janeiro, Brazil walipatwa na mstuko baada
ya Gari lillilobeba Maelfu ya Stika za Aina ya Panini kuibiwa zikiwemo
zile za Mastaa wakubwa Cristiano Ronaldos, Lionel Messis … Read More
Scoral aiombea dua mbaya timu ya Chelsea kwenye michuano ya UEFA.............
KOCHA
wa timu ya taifa ya Brazil Luiz Felipe Scolari anaamini Atletico Madrid
itaitupa nje Chelsea katika michuano ya UEFA msimu huu.Chelsea ilitoa suluhu ya bila kufungana na At… Read More
0 comments:
Post a Comment