Facebook

Monday, 19 May 2014

Arsene Wenger "Sing'atuki Arsenal"

Going nowhere: Arsenal boss Arsene Wenger has confirmed he will be staying on as manager
KOCHA wa Arsenal, mfaransa,  Arsene Wenger sasa anatarajiwa kusaini mkataba mpya baada ya kufuta ukame wa miaka 9 bila kombe kufuatia kutwaa ndoo ya FA jana kwa kuwanyuka 3-2 Hull City katika mechi ya fainali iliyopigwa dimba la Wembley.
Wenger alisema jambo la kusaini mkataba litafanyika kwasababu yeye na bodi ya timu wapo katika mazingira mazuri.
“Kamwe sijiulizi kuondoka zaidi ya kujiuliza nini klabu yangu ifanye”. Alisema Wenger.
Wenger amekaa Asernal bila kombe kwa siku 3, 283 sawa na miaka 9 na kucheza mechi 512, lakini jana alijifuta machungu pamoja na mashabiki wa Asernal
Shower time: Lukas Podolski of pours beer over Wenger after their FA Cup win

Related Posts:

  • Simba yasajili golikipa mahiri kutoka Zanzibar. Kipa wa JKU ya Zanzibar, Mohammed Abraham Mohammed (kulia) akiwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe ofisini kwake, Mbezi, Dar es Salaam mara baada ya kusaini Mkataba wa miaka miwili kuit… Read More
  • TETESI ZOTE ZA USAJILI WA WACHEZAJI BARANI ULAYA. Mchezaji Paul Pogba anawindwa na klabu kubwa barani ulaya zikiwamo Manchester united ,Real Madrid, Manchester City, Chelsea na PSG. Wakala wake Mino Raiola amesema anapokea simu nyingi za ofa ya mteja wake kiung… Read More
  • Mussa Hassan Mgosi arejea Msimbazi.SIMBA SC imemsajili tena mshambuiaji wake wa zamani, Mussa Hassan Mgosi(pichani)leo hii, baada ya takriban misimu miwili mizuri akiwa na Mtibwa Sugar ya Morogoro. Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Pop… Read More
  • Nacho Monreal akataa kuongeza mkataba Arsenal.Nacho Monreal amekataa kuongeza mkataba Arsenal kwa mwaka mmoja mbele kutoka mkataba wake wa sasa. Inasemekana anataka kurejea Spain, gazeti la Spanish newspaper AS limeandika. Beki huyo wa pembeni ambaye pia ameshatumika … Read More
  • Falcao kujiunga Mabingwa Chelsea.Radamel Falcao anataraji kujiunga na Chelsea baada ya ndoto zake kwenda vibaya Manchester United. Timu ya Chelsea imeonyesha nia ya kumsaini Radamel Falcao kuwa msaidizi wa Diego Costa. Mcheza huyo miaka 29 anaamini atarudi k… Read More

0 comments:

Post a Comment