Facebook

Monday, 19 May 2014

Arsene Wenger "Sing'atuki Arsenal"

Going nowhere: Arsenal boss Arsene Wenger has confirmed he will be staying on as manager
KOCHA wa Arsenal, mfaransa,  Arsene Wenger sasa anatarajiwa kusaini mkataba mpya baada ya kufuta ukame wa miaka 9 bila kombe kufuatia kutwaa ndoo ya FA jana kwa kuwanyuka 3-2 Hull City katika mechi ya fainali iliyopigwa dimba la Wembley.
Wenger alisema jambo la kusaini mkataba litafanyika kwasababu yeye na bodi ya timu wapo katika mazingira mazuri.
“Kamwe sijiulizi kuondoka zaidi ya kujiuliza nini klabu yangu ifanye”. Alisema Wenger.
Wenger amekaa Asernal bila kombe kwa siku 3, 283 sawa na miaka 9 na kucheza mechi 512, lakini jana alijifuta machungu pamoja na mashabiki wa Asernal
Shower time: Lukas Podolski of pours beer over Wenger after their FA Cup win

Related Posts:

  • Yaya Toure njia nyeupe kujiunga Inter Milan.Makamu wa rais wa Inter Milan ya Italia, Javier Zanetti amedai kuwa klabu hiyo inakaribia kufikia makubaliano ya kumsajili kiungo wa Manchester City Yaya Toure, 32. Klabu hiyo ya Seria A, ambayo inafunzwa na maneja wa zamani … Read More
  • Schneiderlin mbioni kuondoka Southampton kwa dau la Paundi Milioni 25.KLABU ya Southampton inatarajia kutaka kitita cha paundi milioni 25 kwa ajili ya kiungo Morgan Schneiderlin mbaye anawindwa na klabu za Arsenal na Tottenham Hotspurs. Klabu hizo zinazotoka kaskazini mwa jiji la London, zote z… Read More
  • Golikipa Peter Cech mbioni Arsenal.Wakati Arsene Wenger akikanusha kutaka kumsajili Petr Cech, wakala wa kipa huyo, Viktor Kolar amethibitisha kwamba Arsenal ni miongoni mwa klabu tatu ambazo mlinda mlango huyo wa Chelsea angependa kujiunga. Kolar amesema klab… Read More
  • Xavi kuwaaga mashabiki wa Barcelona Alhamisi.KIUNGO mahiri wa kimataifa wa Hispania, Xavi anatarajia kutangaza uamuzi wake wa kuondoka Barcelona Alhamisi hii wakati akijiandaa kuhamia katika klabu ya Al Sadd ya Qatar. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 35 amekuwa akiitumik… Read More
  • De Gea mbioni kusaini mkataba mpya Man United.Tetesi zinazovuma hivi sasa ni kwamba Manchester united inategemea kumpa David De Gea mkataba mpya kwa muda miaka 4 ambao unathamini ya £250,000 kwa wiki muda wowote kuanzia hivi sasa. Leo hii amehudhuria katika hafla ya… Read More

0 comments:

Post a Comment