Diego Costa amesema kwamba anajiunga na Chelsea kwa sababu 'ni moja ya
klabu kubwa kabisa duniani'.
Straika huyo wa Atletico Madrid kwa muda
mrefu sasa amekua akitarajiwa kumfuata Jose Mourinho katika dili
linalofikia £32million na mchezaji huyo mwenye miaka 25 ametanabaisha
kwamba dili hilo lipo karibuni kukamilika.
'Kwa nini nimechagua kuchezea
Chelsea? Ni kwa sababu ni jambo linalokaribia kutokea,' Costa alisema
'Nimekua nataka kucheza Premier
League kwa muda sasa. Chelsea ni moja kati ya klabu kubwa sana duniani
kwa hiyo kuna vitu vingi hukufanya uchukue uamuzi kama huu.'
Costa atakua m-Spain wa pili kujiunga na Chelsea baada ya Fabregas kukamilisha usajili wa kutua Stamford Bridge wiki iliyopita
Tumehamia
katika site hii mpya na bado tuko katika maboresho,hii ni katika hatua za awali
kabisa kuiboresha site yetu na utoaji wa habari na burudani.Vitu vingi
vitaonekana katika site hii mpya hivi karibuni.Endelea kutembelea www.bantutz.com
Related Posts:
Juventus yathibitisha kumuwania Patrice Evra.
BBC Sport pamoja na vyombo vingi vya habari vimetoa habari kuhusu
uthibitisho wa klabu ya Juventus kumtaka Patrice Evra. Juventus
wamewasiliana na uongozi wa United na kutoa kiasi kinachosemekana kuwa kati ya Pound m… Read More
Sanchez aitolea nje Liverpool,aitaka Arsenal.
Liverpool wamekubali yaishe katika jaribio lao la kumsajili straika wa Barcelona , Alexis Sanchez,25.
Viongozi wa The Reds walifanya mazungumzo na mchezaji huyo raia wa Chile, wakitaraji wanaweza
kumshawishi … Read More
Mnachester City wazidi kujiimarisha kwa kusajili kipa mwingine.
Manchester City wamemsajili kipa wa Malaga Willy Caballero. Muargentina
huyo mwenye umri wa miaka 32, amesaini mkataba wa miaka mitatu kwa
kitita ambacho hakikutajwa.
Caballero, aliyecheza chini ya Manu… Read More
Tetesi za Usajili katika magazeti mbalimbali barani Ulaya.
Arsenal watakamilisha usajili wa mshambuliaji kutoka Chile, Alexis
Sanchez, 25 anayechezea Barcelona siku ya Jumatano, kwa mujibu wa Arsene
Wenger (Talksport),
Tottenham wam… Read More
UNAJUA JINSI WENGER ALIVYOMSHAWISHI SANCHEZ? SOMA HAPA
- Wenger alipata taarifa kwamba Sanchez anafanya mipango ya kuhama
Barcelona lakini angependelea zaidi kurudi Italy, kwani anaijua ligi
hiyo vilivyo alipokua akiichezea Udinese. - Wenger alimtembelea Sanchez kwa kum… Read More
0 comments:
Post a Comment