Facebook

Tuesday, 17 June 2014

Diego Costa:Najiunga na Chelsea

DIEGO COSTA | NAJIUNGA NA CHELSEA

Diego Costa amesema kwamba anajiunga na Chelsea kwa sababu 'ni moja ya klabu kubwa kabisa duniani'. Straika huyo wa Atletico Madrid kwa muda mrefu sasa amekua akitarajiwa kumfuata Jose Mourinho katika dili linalofikia £32million na mchezaji huyo mwenye miaka 25 ametanabaisha kwamba dili hilo lipo karibuni kukamilika. 'Kwa nini nimechagua kuchezea Chelsea? Ni kwa sababu ni jambo linalokaribia kutokea,' Costa alisema 

'Nimekua nataka kucheza Premier League kwa muda sasa. Chelsea ni moja kati ya klabu kubwa sana duniani kwa hiyo kuna vitu vingi hukufanya uchukue uamuzi kama huu.' 

Costa atakua m-Spain wa pili kujiunga na Chelsea baada ya Fabregas kukamilisha usajili wa kutua Stamford Bridge wiki iliyopita

Casta Chelsea, imethibitishwa -  una maoni gani?


    Diego Costa amesema kwamba anajiunga na Chelsea kwa sababu 'ni moja ya klabu kubwa kabisa duniani'. 
    Straika huyo wa Atletico Madrid kwa muda mrefu sasa amekua akitarajiwa kumfuata Jose Mourinho katika dili linalofikia £32million na mchezaji huyo mwenye miaka 25 ametanabaisha kwamba dili hilo lipo karibuni kukamilika.
 'Kwa nini nimechagua kuchezea Chelsea? Ni kwa sababu ni jambo linalokaribia kutokea,' Costa alisema 

'Nimekua nataka kucheza Premier League kwa muda sasa. Chelsea ni moja kati ya klabu kubwa sana duniani kwa hiyo kuna vitu vingi hukufanya uchukue uamuzi kama huu.'
Costa atakua m-Spain wa pili kujiunga na Chelsea baada ya Fabregas kukamilisha usajili wa kutua Stamford Bridge wiki iliyopita




Tumehamia katika site hii mpya na bado tuko katika maboresho,hii ni katika hatua za awali kabisa kuiboresha site yetu na utoaji wa habari na burudani.Vitu vingi vitaonekana katika site hii mpya hivi karibuni.Endelea kutembelea www.bantutz.com

Related Posts:

  • David Villa na Frank Lampard wamejiunga na New York FC David Villa na Frank Lampard wamejiunga na New York FC inayoshiriki ligi ya Marekani - timu hiyo inamilikiwa na mmiliki wa Manchester City Sheikh Mansour. Wachezaji hawa wawili leo walionekana katika hospital ya Bri… Read More
  • Tetesi za usajili katika magazeti mbalimbali barani Ulaya.   Chelsea watajaribu kumsajili kiungo wa Barcelona Cesc Fabegas kuziba nafasi ya Frank Lampard (Daily Telegraph),    Nyota wa zamani wa Liverpool Robbie Fowler amemsihi Brendan Rodgers kumsajili Fabreg… Read More
  • Tetesi za usajili barani Ulaya.   Manchester United imekwisha fahamu wachezaji watano inayowataka, na meneja mpya Louis van Gaal atapewa paundi milioni 220 kuwapata. Van Gaal anataka kumchukua kiungo Kevin Strootman kutoka Roma ya Italia (Dail… Read More
  • Arsene Wenger azidi kumuwinda Mario Balotelli   Kocha Arsene Wenger yuko kwenye mbio za kumuwania Mario Balotelli.Timu ya AC Milan wako mbioni kutua mzigo huo wa zamani wa Manchester City kwenye kipindi hiki cha jua, Arsenal wameshapaza sauti. Meneja wa washika… Read More
  • Tetesi za Usajili barani Ulaya. Meneja wa Arsenal, Arsene Wenger anafikiria kumsaini striker wa AC Milan Mario Balotelli baada ya mchezaji huyo kuambiwa hahitajiki tena San Siro (Daily Mirror), Liverpool, Chelsea na Tottenham pia zinaweza kumfuatilia… Read More

0 comments:

Post a Comment