Facebook

Tuesday, 17 June 2014

Tatizo la Vodacom (M-PESA) Laua mtu Lushoto

Taarifa zilizonifikia toka Gare LUSHOTO, ni kuwa mama mmoja amefariki dunia kwa kukosa usafiri ulikotana na ukosefu wa fedha japo alikuwa alikua nazo kwenye Simu
M-Pesa (VODACOM).

Itakumbukwa kuwa huduma ya M-PESA haipatikani toka jumamosi iliyopita hadi hivi sasa!!!


SWALI KWA VODACOM;


-Hamuoni mmemleta madhara makubwa kwa wateja wenu?


-Tatizo ni nini ilihali nyie mko kimya na haijawahi kutokea tatizo lika-persist namna hii?


-Fedha za wateja ziko salama?


-Mtamsaidiaje au kumfidiaje mteja wenu alieathirika kama familia ya marehem mteja wenu huyu? 


Tumehamia katika site hii mpya na bado tuko katika maboresho,hii ni katika hatua za awali kabisa kuiboresha site yetu na utoaji wa habari na burudani.Vitu vingi vitaonekana katika site hii mpya hivi karibuni.Endelea kutembelea www.bantutz.com

0 comments:

Post a Comment