Polisi wametangaza kuwa wamelipata gari la kifahari la mwimbaji Miley
Cyrus lililoibwa na majambazi waliovamia nyumbani kwake Ijumaa (May
30).
Maafisa wa polisi wameleza kuwa wamelipata gari hilo Jumatatu (June 2)
baada ya wakazi wa maeneo hayo kutoa taarifa kuwa gari hilo
lilitelekezwa na majambazi hao katika eneo la Alscot, Simi Valley na
kwamba wanaendelea kulichunguza gari hilo ili kupata
vielelezo/ushahidi.
Awali, polisi walieleza kuwa mwanaume mmoja na mwanamke waliruka ukuta
na kuvamia katika nyumba ya mwimbaji huyo iliyoko San Fernando Valley,
Ijumaa, May 30, majira ya saa kumi jioni.
Majambazi hao waliingia ndani na kuchukua vidani na wakaondoka na gari la mwimbaji huyo aina ya Maserati.
Wakati hayo yote yanaendelea, Miley Cyrus yuko Ulaya akipiga show kadhaa
katika ziara yake aliyoipa jina la ‘Bangerz tour, na Jumapili
alitumbuiza nchini Finland.
Tuko katika maboresho hivi karibuni blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za kuboresha huduma zetu za kutoa habari,tutakuja katika muonekano mpya na bora zaidi.
Tuesday, 3 June 2014
Hatimaye Gari la Miley Cyrus liloibwa na majambazi limepatikana
Related Posts:
Marlon Wayans kuwa mshereheshaji wa Tuzo za MTV Africa 2014 Tuzo za muziki za MTV 2014 zinarudi tena na ucheshi toka kwa Marlon Wayans, mchekeshaji mwenye miaka 41 ambae amekuwa kwenye game kwa muda mrefu sana ye… Read More
Kanisa la ufufuo na uzima latoa tamko lake kuhusu sakata la Mbasha Kwanza tutoe pole Kwa watu wote mliofikwa na maafa mbalimbali pamoja na pole kwa kiongozi na mbunge wa Kigoma Zitto Kabwe kwa kufiwa na Mama Yake mzazi. Ni wiki sasa pamekuwa na gumzo hapa jijini juu y… Read More
Kifo cha George Tyson,uchawi wahusishwa..fuatilia hapa... Tatizo! Huku macho ya waigizaji na wadau wake hayajakauka machozi kufuatia vifo vya ghafla vya mwongoza sinema, Adam Philip Kuambiana (38) na mwigizaji Sheila Leo Haule ‘Recho’ (26), tasnia imempoteza mwingine,… Read More
Sintah Amchana Irene Uwoya Blogger Sintah Amemchana Irene Uwoya baada ya Picha zake za Mahaba kusambaa Akiwa na Kiserengeti Boy cha THT. Jisomee Alichosema Sintah "Katika dawati letu hatusemi mengi zaidi ya kusema Irene, Irene, Irene???… Read More
Mumewe Flora Mbasha ajitokeza, afichua siri kuhusu tuhuma za ubakaji,,, Flora akiwa na mumewe,Emmanuel Mbasha Emmanuel Mbasha, ambaye ni mume wa mwimbaji nguli wa nyimbo za Injili, Flora Mbasha amejitokeza hadharani na kusema kwamba atakwenda polisi mwenyewe kujibu tuhuma dhidi yake za kumb… Read More
0 comments:
Post a Comment