Kufuatia ushindi huu wa mabao
2-0 mikononi mwa Chile mabingwa watetezi wa kombe la dunia Uhispania
sasa wamehakiki tikiti za ndege kurejea nyumbani pamoja na Australia .
Hii ni baada ya Uholanzi kushinda mechi yake ya pili na kuongoza kundi B ikiwa na alama 6 sawa na Chile.Mshindi wa pili katika kundi B atachuana na bingwa katika kundi A inayojumuisha wenyeji Brazil na washindi wa pili katika kundi hilo Mexico.
Kwa upande wao Uhispania ambao sasa wamefungwa jumla ya mabao 7 watachuana na Australia katika mechi ambayo haitakuwa na umuhimu wowote .
Huzuni miongoni mwa mashabiki wa Uhispania
Vargas akishangilia kuilaza Uhispania
Kocha wa Uhispania Del Bosque
Uhispania ililazwa 5-1 na Uholanzi katika mechi yao ya kwanza
Tumehamia
katika site hii mpya na bado tuko katika maboresho,hii ni katika hatua za awali
kabisa kuiboresha site yetu na utoaji wa habari na burudani.Vitu vingi
vitaonekana katika site hii mpya hivi karibuni.Endelea kutembelea www.bantutz.com
0 comments:
Post a Comment