Facebook

Thursday, 19 June 2014

Tetesi za usajili katika magazeti mbalimbali barani Ulaya.


 Photo: TETESI ZA SOKA ULAYA

Kiungo wa Sunderland Adam Johnson huenda akajiunga na AS Mobaco ya Ufaransa 9Sun), Sergio Aguero amesisitiza kuwa hana mpango wa kuondoka Manchester City (Daily Star), Rafael Benitez amesema hatomsajili moja kwa moja kipa wa Liverpool Pepe Reina (Sun), mshambuliaji wa Argentina na Napoli Gonzalo Higuain anasakwa na Arsenal, Chelsea na Manchester United (Daily Express), Everton wametoa dau la pauni milioni 10 na kuwazidi kete Arsenal na Manchester United kumchukua mshambuliaji wa Torino Alessio Cerci (Daily Express), Atletico Madrid wanamkata Alvaro Negredo kuziba nafasi ya Diego Costa anayekwenda Chelsea (Daily Star) Arsenal wapo tayari kutoa pauni milioni 25 kumsajili Mario Balotelli wa AC Milan (Daily Star), Liverpool wataanza kumfuatilia beki wa kushoto wa Wolfburg Ricardo Rodriguez iwapo watamkosa Alberto Moreno kutoka Sevilla (Daily Mail), Inter Milan iko tayari kumchukua Stevan Jovetic wa Manchester City (Daily Mail), Chelsea watalipa ada ya uhamisho ya dola milioni 33 kujiunga na Jose Mourinho msimu ujao (Sky Sport Italia). Tetesi nyingine kesho tukijaaliwa. Adios!
Kiungo wa Sunderland Adam Johnson huenda akajiunga na AS Monaco ya Ufaransa 9Sun), 
 
Sergio Aguero amesisitiza kuwa hana mpango wa kuondoka Manchester City (Daily Star),
 
 Rafael Benitez amesema hatomsajili moja kwa moja kipa wa Liverpool Pepe Reina (Sun),
 
 Mshambuliaji wa Argentina na Napoli Gonzalo Higuain anasakwa na Arsenal, Chelsea na Manchester United (Daily Express),
 
 Everton wametoa dau la pauni milioni 10 na kuwazidi kete Arsenal na Manchester United kumchukua mshambuliaji wa Torino Alessio Cerci (Daily Express),
 
 Atletico Madrid wanamkata Alvaro Negredo kuziba nafasi ya Diego Costa anayekwenda Chelsea (Daily Star)
 
 Arsenal wapo tayari kutoa pauni milioni 25 kumsajili Mario Balotelli wa AC Milan (Daily Star),
 
 Liverpool wataanza kumfuatilia beki wa kushoto wa Wolfburg Ricardo Rodriguez iwapo watamkosa Alberto Moreno kutoka Sevilla (Daily Mail), 
 
Inter Milan iko tayari kumchukua Stevan Jovetic wa Manchester City (Daily Mail), 
 
 Tetesi nyingine kesho tukijaaliwa. 
 
Tumehamia katika site hii mpya na bado tuko katika maboresho,hii ni katika hatua za awali kabisa kuiboresha site yetu na utoaji wa habari na burudani.Vitu vingi vitaonekana katika site hii mpya hivi karibuni.Endelea kutembelea www.bantutz.com


Related Posts:

0 comments:

Post a Comment