Facebook

Thursday, 19 June 2014

Tetesi za usajili katika magazeti mbalimbali barani Ulaya.


 Photo: TETESI ZA SOKA ULAYA

Kiungo wa Sunderland Adam Johnson huenda akajiunga na AS Mobaco ya Ufaransa 9Sun), Sergio Aguero amesisitiza kuwa hana mpango wa kuondoka Manchester City (Daily Star), Rafael Benitez amesema hatomsajili moja kwa moja kipa wa Liverpool Pepe Reina (Sun), mshambuliaji wa Argentina na Napoli Gonzalo Higuain anasakwa na Arsenal, Chelsea na Manchester United (Daily Express), Everton wametoa dau la pauni milioni 10 na kuwazidi kete Arsenal na Manchester United kumchukua mshambuliaji wa Torino Alessio Cerci (Daily Express), Atletico Madrid wanamkata Alvaro Negredo kuziba nafasi ya Diego Costa anayekwenda Chelsea (Daily Star) Arsenal wapo tayari kutoa pauni milioni 25 kumsajili Mario Balotelli wa AC Milan (Daily Star), Liverpool wataanza kumfuatilia beki wa kushoto wa Wolfburg Ricardo Rodriguez iwapo watamkosa Alberto Moreno kutoka Sevilla (Daily Mail), Inter Milan iko tayari kumchukua Stevan Jovetic wa Manchester City (Daily Mail), Chelsea watalipa ada ya uhamisho ya dola milioni 33 kujiunga na Jose Mourinho msimu ujao (Sky Sport Italia). Tetesi nyingine kesho tukijaaliwa. Adios!
Kiungo wa Sunderland Adam Johnson huenda akajiunga na AS Monaco ya Ufaransa 9Sun), 
 
Sergio Aguero amesisitiza kuwa hana mpango wa kuondoka Manchester City (Daily Star),
 
 Rafael Benitez amesema hatomsajili moja kwa moja kipa wa Liverpool Pepe Reina (Sun),
 
 Mshambuliaji wa Argentina na Napoli Gonzalo Higuain anasakwa na Arsenal, Chelsea na Manchester United (Daily Express),
 
 Everton wametoa dau la pauni milioni 10 na kuwazidi kete Arsenal na Manchester United kumchukua mshambuliaji wa Torino Alessio Cerci (Daily Express),
 
 Atletico Madrid wanamkata Alvaro Negredo kuziba nafasi ya Diego Costa anayekwenda Chelsea (Daily Star)
 
 Arsenal wapo tayari kutoa pauni milioni 25 kumsajili Mario Balotelli wa AC Milan (Daily Star),
 
 Liverpool wataanza kumfuatilia beki wa kushoto wa Wolfburg Ricardo Rodriguez iwapo watamkosa Alberto Moreno kutoka Sevilla (Daily Mail), 
 
Inter Milan iko tayari kumchukua Stevan Jovetic wa Manchester City (Daily Mail), 
 
 Tetesi nyingine kesho tukijaaliwa. 
 
Tumehamia katika site hii mpya na bado tuko katika maboresho,hii ni katika hatua za awali kabisa kuiboresha site yetu na utoaji wa habari na burudani.Vitu vingi vitaonekana katika site hii mpya hivi karibuni.Endelea kutembelea www.bantutz.com


Related Posts:

  • Arsene Wenger azidi kumuwinda Mario Balotelli   Kocha Arsene Wenger yuko kwenye mbio za kumuwania Mario Balotelli.Timu ya AC Milan wako mbioni kutua mzigo huo wa zamani wa Manchester City kwenye kipindi hiki cha jua, Arsenal wameshapaza sauti. Meneja wa washika… Read More
  • Tetesi za Usajili barani Ulaya. Meneja wa Arsenal, Arsene Wenger anafikiria kumsaini striker wa AC Milan Mario Balotelli baada ya mchezaji huyo kuambiwa hahitajiki tena San Siro (Daily Mirror), Liverpool, Chelsea na Tottenham pia zinaweza kumfuatilia… Read More
  • Official: Kocha mpya wa Yanga ni Marcio Maximo Official: Kocha mpya wa Yanga ni Marcio Maximo - Yusuph Manji kathibitisha                        &nb… Read More
  • David Villa na Frank Lampard wamejiunga na New York FC David Villa na Frank Lampard wamejiunga na New York FC inayoshiriki ligi ya Marekani - timu hiyo inamilikiwa na mmiliki wa Manchester City Sheikh Mansour. Wachezaji hawa wawili leo walionekana katika hospital ya Bri… Read More
  • Tetesi za usajili barani Ulaya.   Manchester United imekwisha fahamu wachezaji watano inayowataka, na meneja mpya Louis van Gaal atapewa paundi milioni 220 kuwapata. Van Gaal anataka kumchukua kiungo Kevin Strootman kutoka Roma ya Italia (Dail… Read More

0 comments:

Post a Comment