
Huyu ndiyo yu;e mganga kutoka Ghana ADAYE SEMA.Anadai yeye ndio chanzo cha majeraha yote aliyonayo Ronaldp.Kwa kifupi anadai amemroga Ronaldo na hapa ndio anakwea pepea kuelekea Brazil kumroga kabisa ili asicheze mechi kati ya Ghana na Ureno.


·
Entertainment and Updates
0 comments:
Post a Comment