Facebook

Wednesday, 11 June 2014

Nuh Mziwanda ajichora tatoo ya jina la Shilole kuonyesha mapenzi ya dhati.

Msanii kijana Nuh Mziwanda, ameamua kujichora tattoo yeney jina la Shilole "Shishi Baby" kwenye mkono wake kudhihirisha mapenzi yake kwa msanii huyo

Nuhu licha yakuchora tattoo hiyo aliambatanisha maneno haya katika picha aliyoipost kupitia mtandao wa Instagram 


Shilole nae alimjibu kwa kupost picha hiyo hapo juu na kuandika 

Tuko katika maboresho hivi karibuni blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za kuboresha huduma zetu za kutoa habari na burudani.Tutakuja katika muonekano mpya na bora zaidi.Vitu vizuri vipya usivyotarajia utaviona na kufurahia kupitia www.bantutz.com....

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment